Bw nassary mimi ni mkazi wa sing'isi meru na ni mmoja nliyekupa kura ktk mchakato wa awali wa maoni.Unafahamu kuwa kipindupindu kimeua wanetu kutokana na msongamano wa watu,ufinyu wa maeneo.mwaka juzi tuliingia kwa jinai ktk eneo la madibira estate tukilihitaji tugawiwe kwani linahodhiwa na serikali kwa sasa ila hatujapewa mpaka leo.
So naahidi na tunaahidi kukupa kura UKIFIKA BUNGENI UTUPIGANIE KWANI CCM WAMETUHADAA SANA,na wewe hili liwe deni lako kwetu,maana tuna matumaini utatusaidia kulipata eneo hilo.SING'ISI YAKO YOTE.
So naahidi na tunaahidi kukupa kura UKIFIKA BUNGENI UTUPIGANIE KWANI CCM WAMETUHADAA SANA,na wewe hili liwe deni lako kwetu,maana tuna matumaini utatusaidia kulipata eneo hilo.SING'ISI YAKO YOTE.