Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
**** watu humu wana akili za Kimwanahasha. Wanasoma title tu wanakuja kwenye conclusion pasi na kusoma contents. Hawa ndio wasomaji maarufu wa Kiu na Ijumaa wikienda.
Hata weye watukana ilhali una MD,MPH na MBA?