Maka Kassimoto
Member
- May 26, 2008
- 34
- 6
Mtoa mada nimeipenda sana heading yako. Inahitaji wale watu wenye akili za kuwasha chemli mchana na kupita nayo sokoni, kuweza kuielewa. Simple mind wataiona haiendani na habari yenyewe, wakidhani ni kesi za kudhulumiana ardhi. Great minds watasoma mstari kwa mstari na kuja na wazo kuu. Wana JF hivi ardhi ya Tanzania ni mali ya nani? Wanawakilishwa na nani? Inapotokea ardhi kubwa inahodhiwa na wachache na kuwa misused ni nani atakuwa kimbilio la wengi hawa? Na ni kwa namna gani watapatiwa ufumbuzi wa tatizo lao? THIS IS ALL ABOUT THIS HEADING. Big up Ritts.