princesitor
Member
- Oct 7, 2012
- 31
- 1
nliwahi weka kuhusu uhusiano wangu na mkaka wa kiislam ,kiukweli nlikuwa nampenda sana bila kujali mambo yote aliyowahi kunifanyia kwani tuliamua kuanza upya na kusahau yote ila inafika mwezi sasa nimejikuta namchukia tu sina tena feelings nae sielewi nini kimetokea,na yeye ameligundua ilo kwan kila siku analalamika nimebadilika,kiukweli sina mtu yeyote kusema kwamba ananitia kiburi ila imetokea tu,nifanyaje na nnaishi nae ..kumwambia tuachane naogopa.