chobu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 308
- 26
jamani mimi nilimchukia tangu alipofanya mkutano na wazee na kusema "Lowasa kujiuzulu ni sawa na ajali kazini" mpaka leo simpendi kabisa; akanizidishia uchungu alipowakampenia ubunge mafisadi; ... hapo alinimaliza kabisa. Sasa tegemea waziri mkuu kuwa Lowasa au atapewa wizara nyeti....... ndipo utakapojua mkwere hamnazo!!!!!!!!!!!!!!!!!...