Wissman
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,034
- 1,319
Kanifanya niangalie mara mbilimbili huku nawaza mimi ndio sioni au kuna picha mimi siioniAcha hizo Jo Kuna picha ya Rambo hapo?
Duuh kazeeka
We kweli mhengaMichael Dudikof,Cynthia Rothrock aka Mateke lady,Komando Kipensi,Chuck Norris,Billy Blanks,Bolo Young,Gary Daniel,Billy Drago aka Carlos na Tagawa.
Mkuu kwenye sinema nadhani ulikua hukosiKuna bill drago, dudkof, Norris, Cynthia, bill branks, bolo, komandoo kipensi, Gary Daniel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa VHS.Michael Dudikof
Komando Suzi
Komando kipensi
chuck norris
Boro Young
Carlos
Bill branks
He's still scary though!!!
Duh! umri umeshaenda
Bill blanksMichael Dudikof
Komando Suzi
Komando kipensi
chuck norris
Boro Young
Carlos
Bill branks
Mbna age mate haoMuhenga nitakuwa mie? hapo namjua american ninja tu..M Dudickof
Ulikuwa mzembe wa movie mkuuHapo nimemfahamu Bolo Yangu tu pekee.
Kakosekana dame apaDuuh kazeeka
Nyingi tu,hata mortal Kombat pia kacheza.tagawa ameact movie gani mkuu, inaonekana na yeye mtata
Hakuna Rambo hapo bhana. Wa kwanza ni Michale Dudikof Mzee wa America Ninja.