Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,915
- 12,702
Wakuu naomba kujuzwa Siri iliyopo nyuma ya nambari 3 maana hi nambari hutumika Sana katika Mambo mbali mbali.Kwa mfano;
1.Huwa tunakula Mila 3 kwa siku
2.Mchezaji wa soka akifunga mabao 3 hio inaitwa hat- trick na anazawadiwa mpira.
3.vijijini nyumba nyingi zina vyumba 3.
4.Wagonjwa hushauriwa kumeza dawa Mara 3 kwa siku
5.Ukimdai mtu Deni lako atakwambia usubiri kdgo atakulipa baada ya siku 3.
6.Kuku huangua vifaranga baada ya wiki 3( 21 days)
7.Babu yangu Ana wake 3
8.Mimi mwenyewe Nina ndugu 3
1.Huwa tunakula Mila 3 kwa siku
2.Mchezaji wa soka akifunga mabao 3 hio inaitwa hat- trick na anazawadiwa mpira.
3.vijijini nyumba nyingi zina vyumba 3.
4.Wagonjwa hushauriwa kumeza dawa Mara 3 kwa siku
5.Ukimdai mtu Deni lako atakwambia usubiri kdgo atakulipa baada ya siku 3.
6.Kuku huangua vifaranga baada ya wiki 3( 21 days)
7.Babu yangu Ana wake 3
8.Mimi mwenyewe Nina ndugu 3