Kama wanakimbia hapo polisi wanafanya kazi ya kuokoa Mali za raia kwahiyo kupiga simu kwakwo kunakuwa na faida
Kuna mswali yalizuka mengi, kuna mzee wa 60+ years alikwenda na binti wa 20s kama sijakosea 30s hotel moja kubwa hapa jijini, mzee alifariki hapo hotel, polisi walipompekuwa wakamkuta ana kama 30K kiasi ambacho ni tofauti na hadhi ya hotel alimokuwa, watu walihoji sana juu ya hizo fedhaPolisi na wezi ni kitu kimoja. Ukiona mwizi kakamatwa ujue hakupeleka mgao.
Sometimes wanawapa wasaidizi wao au zinaachwa receptionIla hawa jamaa wana kazi ngumu, kila simu lazima waipokee
Cha msingi na wao ujambazi waache sio kusingiziana tu wakati wanawajua vizuri mda mwingine hata silaha hutoa wao
Hawa si walinda usalamaSafi sana,ila tungepata na za wakuu wa Wilaya zote DSM ingekuwa pow sana,
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mungu anisamehe ila Kuna tukio moja Lina miaka kadhaa kurudi nyuma wilaya ya biharamlo kulitokea uvamizi na mtu kapigwa ya moyo sasa baada ya occid kuja na kuangalia hap yale makasha uvumilivu ulimshinda kamwaga Mchele mbele ya kuku alafu kutoka eneo la tukio hadi kituo kidogo Cha police ni nusu km na majizi yalitumia zaidi ya masaa 2 yapo tu lakini kinachoniuma zaidi Yule boss aliomwaga mboga katolewa fasta na mkuu wa kituo hapo kaachwahizi tuhuma kwa jeshi ni nyingi mno
Mmh...!Mungu anisamehe ila Kuna tukio moja Lina miaka kadhaa kurudi nyuma wilaya ya biharamlo kulitokea uvamizi na mtu kapigwa ya moyo sasa baada ya occid kuja na kuangalia hap yale makasha uvumilivu ulimshinda kamwaga Mchele mbele ya kuku alafu kutoka eneo la tukio hadi kituo kidogo Cha police ni nusu km na majizi yalitumia zaidi ya masaa 2 yapo tu lakini kinachoniuma zaidi Yule boss aliomwaga mboga katolewa fasta na mkuu wa kituo hapo kaachwa
Fikiria zaidi
Simu hizi huwa Zinatoa huduma jumatatu hadi Ijumaa. Siku Za Jmosi , Jpili na siku Za sikukuu Za kitaifa hazipokelewi kabisaaa huwa zinaita tu. Iwekwe hapo ya IGP itasaidiaUhuru unarejea.. Wananchi sasa wako huru kuwasiliana na makamanda wao 24/7
Sent using Jamii Forums mobile app