Namba ufafanuzi wadau wa soka

changaule

JF-Expert Member
Jan 10, 2020
5,587
9,179
CAF wametoa list ya timu zitakazoshiriki michuano ya klabu bingwa na Shirikisho Africa. Pia wametoa orodha ya timu zitakazoanzia hatua ya awali na zitakazoanzia hatua ya pili kwenye michuano yote miwili. Swala la Simba kuanzia hatua ya awali imejulikana kwamba kigezo kipi kimetumika. Ila sielewi upande wa Azam kwanini anaanzia hatua ya pili kwenye kombe la shirikisho?

Swali langu kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
 
CAF wametoa list ya timu zitakazoshiriki michuano ya klabu bingwa na Shirikisho Africa. Pia wametoa orodha ya timu zitakazoanzia hatua ya awali na zitakazoanzia hatua ya pili kwenye michuano yote miwili. Swala la Simba kuanzia hatua ya awali imejulikana kwamba kigezo kipi kimetumika. Ila sielewi upande wa Azam kwanini anaanzia hatua ya pili kwenye kombe la shirikisho?
Simba amepata Points za kuanzia hatua pili kutokea Kombe la Shirikisho. Ingekua anaendelea na kombe hilo basi angeanzia hatua ya pili lakin sasa anacheza Klabu Bingwa.

Yaani ni sawa na mlingane points lakini mmoja awe ametokea shirikisho wakatimwengine ametokea Klabu Bingwa, hapo lazima mwenye ametokea Klabu Bingwa akapewa kipaumbele.

Ni mtazamo tu,
 
Simba amepata Points za kuanzia hatua pili kutokea Kombe la Shirikisho. Ingekua anaendelea na kombe hilo basi angeanzia hatua ya pili lakin sasa anacheza Klabu Bingwa. Yaani ni sawa na mlingane points lakini mmoja awe ametokea shirikisho wakatimwengine ametokea Klabu Bingwa, hapo lazima mwenye ametokea Klabu Bingwa akapewa kipaumbele.

Ni mtazamo tu,
Hoja yangu haipo kwa Simba bali kwa Azam. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili kwenye shirikisho?
 
Simba amepata Points za kuanzia hatua pili kutokea Kombe la Shirikisho. Ingekua anaendelea na kombe hilo basi angeanzia hatua ya pili lakin sasa anacheza Klabu Bingwa. Yaani ni sawa na mlingane points lakini mmoja awe ametokea shirikisho wakatimwengine ametokea Klabu Bingwa, hapo lazima mwenye ametokea Klabu Bingwa akapewa kipaumbele.

Ni mtazamo tu,
Naomba kujuzwa kwa zamalek, mie hapa ndo sielewi imekuaje.
Lol.
 
Ngoja nijaribu mkuu

Afrika ina nchi 54 ila wanachama wa CAF wapo 56 na ndugu zetu kama zanzibar na sehemu nyingine ambapo unakuta kwenye nchi kuna sehemu inajitegemea kimpira hivyo idadi kuwa 56 badala ya 54 twende kwenye mada sasa:–

Team zinazotakiwa kuanza preliminary stage ni 32 ila kiuhalisia team zote zinatakiwa zianze hatua ya awali ila kutokana na changamoto mbali mbali kama nchi kushindwa kushiriki kutokana na vita na kufingiwa na FIFA idadi hyo haofiki ambayo ilitakiwa iwe 64 ili zikicheza mtoano zibaki 32 sasa baada ya kuona Caf hlo haliwezekani ikabidi waweke utaratibu huu ifuatao,

Idadi ya wawikilishi wa Caf katika mwaka husika ndo inaamua idadi ya team zinazoanzia hatua ya awali au ya mtoano kwa mfano mwaka huu wawakilishi ni kutoka nchi 46 twende sasa
Idadi ya awali ni 64÷2=32 ambayo ndio inayotakiwa ila kwasababu wawakilishi idadi hyo kinafanyika hichi
44 ni wawakilishi wa mwaka huu katika Caf champions league hapo toa team 12 zinazotoa wawakilishi wawili wawili kila nchi hvyo itakuwa

44–12=32

12×2=24

24+32=56

64–56=8

Kwa hyo team nane tu ndo hazitaanza hatua ya awali msimu huo husika ambapo:–

44 – ni adadi ya wawakilishi katika mwaka husika.
12– ni idadi ya nchi ambazo zinatoa team mbili Caf champions league.
24– ni idadi ya team ambazo zinatoka katika wawakilishi 12 wa Caf .
32 – ni idadi ya wawakilishi wa caf iliyobakia katika wawakilishi 44 wa Caf baada ya kutoa 12.
56 – ni jumla ya team zote kutoka katika wawakilishi 44 wanachama wa caf.
64 – ni idadi halisi inayotakiwa ambayo kutokana na sababu mbali mbali haifikiwi.
8 – ni idadi ya team zinatozotakiwa kukamlishi team 64 na hizo nane ndo hazianzii hatua ya awali.
 
Ngoja nijaribu mkuu

Afrika ina nchi 54 ila wanachama wa CAF wapo 56 na ndugu zetu kama zanzibar na sehemu nyingine ambapo unakuta kwenye nchi kuna sehemu inajitegemea kimpira hivyo idadi kuwa 56 badala ya 54 twende kwenye mada sasa:–

Team zinazotakiwa kuanza preliminary stage ni 32 ila kiuhalisia team zote zinatakiwa zianze hatua ya awali ila kutokana na changamoto mbali mbali kama nchi kushindwa kushiriki kutokana na vita na kufingiwa na FIFA idadi hyo haofiki ambayo ilitakiwa iwe 64 ili zikicheza mtoano zibaki 32 sasa baada ya kuona Caf hlo haliwezekani ikabidi waweke utaratibu huu ifuatao,

Idadi ya wawikilishi wa Caf katika mwaka husika ndo inaamua idadi ya team zinazoanzia hatua ya awali au ya mtoano kwa mfano mwaka huu wawakilishi ni kutoka nchi 46 twende sasa
Idadi ya awali ni 64÷2=32 ambayo ndio inayotakiwa ila kwasababu wawakilishi idadi hyo kinafanyika hichi
44 ni wawakilishi wa mwaka huu katika Caf champions league hapo toa team 12 zinazotoa wawakilishi wawili wawili kila nchi hvyo itakuwa

44–12=32

12×2=24

24+32=56

64–56=8

Kwa hyo team nane tu ndo hazitaanza hatua ya awali msimu huo husika ambapo:–

44 – ni adadi ya wawakilishi katika mwaka husika.
12– ni idadi ya nchi ambazo zinatoa team mbili Caf champions league.
24– ni idadi ya team ambazo zinatoka katika wawakilishi 12 wa Caf .
32 – ni idadi ya wawakilishi wa caf iliyobakia katika wawakilishi 44 wa Caf baada ya kutoa 12.
56 – ni jumla ya team zote kutoka katika wawakilishi 44 wanachama wa caf.
64 – ni idadi halisi inayotakiwa ambayo kutokana na sababu mbali mbali haifikiwi.
8 – ni idadi ya team zinatozotakiwa kukamlishi team 64 na hizo nane ndo hazianzii hatua ya awali.
Mkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
 
Mkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
Mkuu hapo mi sina jibu la uhakika ila inaweza ikawa ni collective point za nchi ndo zimetumika hapo yaani point zetu Tanzania ni nyingi kuliko team iliyotakiwa iwe nafasi hyo katika nchi yake sina uhakika wanaoelewa zaidi watakuja kufafanua.
 
Mkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
Inawezekana Azam anaanzia raundi ya pili kutokana na ranking za timu zinazoshiriki confederation kumbuka timu nyingi zinazoshiriki mashindano haya ni zile ambazo zimeshindwa kutwaa ubingwa kwao
 
Inawezekana Azam anaanzia raundi ya pili kutokana na ranking za timu zinazoshiriki confederation kumbuka timu nyingi zinazoshiriki mashindano haya ni zile ambazo zimeshindwa kutwaa ubingwa kwao
Mkuu ranking unayoongelea wewe ni ipi? Ranking ya CAF (5 year ranking) au ipi? Kama ni hiyo basi Azam hana hata point mkuu.
 
CAF wametoa list ya timu zitakazoshiriki michuano ya klabu bingwa na Shirikisho Africa. Pia wametoa orodha ya timu zitakazoanzia hatua ya awali na zitakazoanzia hatua ya pili kwenye michuano yote miwili. Swala la Simba kuanzia hatua ya awali imejulikana kwamba kigezo kipi kimetumika. Ila sielewi upande wa Azam kwanini anaanzia hatua ya pili kwenye kombe la shirikisho?

Swali langu kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
Simba wapo tayar kucheza round yoyote ile..... Azam aanze hukohuko ili afike juu mapema kileleni!
 
Mkuu hapo mi sina jibu la uhakika ila inaweza ikawa ni collective point za nchi ndo zimetumika hapo yaani point zetu Tanzania ni nyingi kuliko team iliyotakiwa iwe nafasi hyo katika nchi yake sina uhakika wanaoelewa zaidi watakuja kufafanua.
Mkuu kama kigezo ni collective point za nchi basi Libya timu yao ingeanzia raundi ya pili kwavile wametuzidi point lakini timu zao hazijaanzia raundi ya pili
 
Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
 
Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
Wewe kidogo unaeleka hawa wengine naona wanapiga ramli tu
 
Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu

Sio kweli, Simba ameshindwa kuanza hatua ya pili kwasababu ya idadi ya wanachama kuongezeka hivyo timu zimekuwa nyingi na kufanya timu sita pekee ndio zianze hatua ya pili. Libya wapo juu ya Tanzania kwa point lakini timu zao zinaanzia raundi ya kwanza kwenye shirikisho tofauti na Azam. Ingekuwa ni hivyo basi hata timu za Libya ingeanzia raundi ya pili
 
Naomba kujuzwa kwa zamalek, mie hapa ndo sielewi imekuaje.
Lol.
Utaelewa tu kudadek! Kelele zote kwisha!

Mkiulizwa mna tofauti gani na yule mropokaji Haji Manara, sijui mtajibu nini! Mtaanzia na nyinyi hatua ya awali. Hakuna cha kufika robo fainali, wala kushika nafasi ya 11 kwa ubora.
 
Back
Top Bottom