Simba iwekeze nguvu zake kwenye Kombe la Mapinduzi, huku kwingine inaenda tu kupoteza muda

utopolo og

JF-Expert Member
Nov 29, 2022
536
1,357
Wasalaaa..
Nitoe wito kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba uwekeze nguvu zake kwa ajili ya Kombe la Mapinduzi maana ndio tunaweza kulichukua kwani kwenye hii michuano timu nyingi zinapeleka vikosi vya pili.

Michuano ya Caf Super League tayari tumeshatolewa hata kabla ya kucheza iyo mechi na Al ahy.
Hatua ya kwanza Caf Champions League naona dalili zote za kutolewa na Power Dinamos na endapo tukifanikiwa kuingia makundi naona dalili zote tutaburuza mkia.

Ligi ya NBC tayari bingwa ameshajulikana na Azam Confederation cup bingwa tayari ameshajulikana.

Tusije kulaumiana huko mbeleni.

Simba gufu moya
 
Wasalaaa..
Nitoe wito kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba uwekeze nguvu zake kwa ajili ya Kombe la Mapinduzi maana ndio tunaweza kulichukua kwani kwenye hii michuano timu nyingi zinapeleka vikosi vya pili.

Michuano ya Caf Super League tayari tumeshatolewa hata kabla ya kucheza iyo mechi na Al ahy.
Hatua ya kwanza Caf Champions League naona dalili zote za kutolewa na Power Dinamos na endapo tukifanikiwa kuingia makundi naona dalili zote tutaburuza mkia.

Ligi ya NBC tayari bingwa ameshajulikana na Azam Confederation cup bingwa tayari ameshajulikana.

Tusije kulaumiana huko mbeleni.

Simba gufu moya
Jipige Kifua mara tatu halafu sema kwa Sauti kubwa ....Mimi ni mmojawapo kati ya Wale Aliosema Manara 'Hamnazo' isipokuwa JK na Baba yake huku Utopolo..! Huku sisi hatuwazi Vizuri vichwa vimekaa Tenge...!
 
Wasalaaa..
Nitoe wito kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba uwekeze nguvu zake kwa ajili ya Kombe la Mapinduzi maana ndio tunaweza kulichukua kwani kwenye hii michuano timu nyingi zinapeleka vikosi vya pili.

Michuano ya Caf Super League tayari tumeshatolewa hata kabla ya kucheza iyo mechi na Al ahy.
Hatua ya kwanza Caf Champions League naona dalili zote za kutolewa na Power Dinamos na endapo tukifanikiwa kuingia makundi naona dalili zote tutaburuza mkia.

Ligi ya NBC tayari bingwa ameshajulikana na Azam Confederation cup bingwa tayari ameshajulikana.

Tusije kulaumiana huko mbeleni.

Simba gufu moya
Sawa dada. Unahis UMEONGEA NA WEWE
 
Mechi Ngumu za simba ni mbili kwa 4 dhidi ya Power Dynamos kufuzu kwenda makundi CCL na mechi ya Al Ahly kufuzu kwenda nusu AFL , hizi mbili akifungwa humu hapatoshi

Na mnyama hatokubali #NguvuMoja itaonekana hapa
 
Wasalaaa..
Nitoe wito kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba uwekeze nguvu zake kwa ajili ya Kombe la Mapinduzi maana ndio tunaweza kulichukua kwani kwenye hii michuano timu nyingi zinapeleka vikosi vya pili.
Nadhani umechungulia ukaona Yanga ilipigwa na Simba kwenye ligi, ikaja kupigwa kwenye Ngao ya Hisani, sasa unaanza kuwaandaa utopolo wenzako kisaikolojia kuwa mkipigwa tena kwenye Mapinduzi msingizie kuwa mmepeleka kikosi cha pili 😁 😁 😁
 
Nadhani umechungulia ukaona Yanga ilipigwa na Simba kwenye ligi, ikaja kupigwa kwenye Ngao ya Hisani, sasa unaanza kuwaandaa utopolo wenzako kisaikolojia kuwa mkipigwa tena kwenye Mapinduzi msingizie kuwa mmepeleka kikosi cha pili 😁 😁 😁
Aaahaaa
 
Mwaka huu kwa mara ya kwanza kabisa Afrika itashuhudia pira papatu papatu.
Huwa nikikumbuka, nawalaumu sana Kibu "D" na Baleke, kwa kuto kukabidhi kifurushi cha G5 siku ile! Labda hii dharau ingekuwa imepungua kidogo!
 
Nadhani umechungulia ukaona Yanga ilipigwa na Simba kwenye ligi, ikaja kupigwa kwenye Ngao ya Hisani, sasa unaanza kuwaandaa utopolo wenzako kisaikolojia kuwa mkipigwa tena kwenye Mapinduzi msingizie kuwa mmepeleka kikosi cha pili 😁 😁 😁
Acha upotoshaji wewe kijana wa Rage. Kwenye Ngao ya jamii timu zote mbili zilitoshana nguvu ndani ya dakika 90, na simba ilifanikiwa kuichukua hiyo Ngao kupitia mikwaju ya penati. Na hii ni baada ya kupelekewa moto wa kutosha ndani ya dakika zote 90 za mchezo.

Matokeo ya kufungwa ni yale yanayopatikana tu ndani ya dakika 90/120 za mchezo.
 
Huwa nikikumbuka, nawalaumu sana Kibu "D" na Baleke, kwa kuto kukabidhi kifurushi cha G5 siku ile! Labda hii dharau ingekuwa imepungua kidogo!
Kibu Denis na huyo Baleke wako, wote ni magarasa tu. Na ndiyo wanaosababisha hata timu kucheza mpira usiovutia kama ule wa Yanga. Hata hilo goli alilofunga lilikuwa ni la kubahatisha tu.

Wachezaji gani hao wanakimbia kimbia tu uwanjani kama nyumbu!!
 
... Kwenye Ngao ya jamii timu zote mbili zilitoshana nguvu ndani ya dakika 90, na simba ilifanikiwa kuichukua hiyo Ngao kupitia mikwaju ya penati. Na hii ni baada ya kupelekewa moto wa kutosha ndani ya dakika zote 90 za mchezo.
Acha kujifariji. Mechi ya fainali lazima mshindi apatikane. Kwa kuwa haikurudiwa, mshindi anajulikana ni yule aliyetangazwa.
 
Kibu Denis na huyo Baleke wako, wote ni magarasa tu. Na ndiyo wanaosababisha hata timu kucheza mpira usiovutia kama ule wa Yanga. Hata hilo goli alilofunga lilikuwa ni la kubahatisha tu.

Wachezaji gani hao wanakimbia kimbia tu uwanjani kama nyumbu!!
Pamoja na kuwa mara nyingi huwa unaandika nisiyoyapenda kuhusiana na "KABILA" langu, lakini huwa sichukizwi sana, kwani uandishi wako si wa kukera sana, kama wengine waliopo kwenye "KABILA" lako!
 
Back
Top Bottom