Namba tatanishi

Namba tatanishi

Rivamba J

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
385
Reaction score
170
+255693364917
Wadau nilipigiwa simu na hii namba jana asubuhi nikiwa kazini nikashindwa kuipokea ila kila nikiipigia naambiwa si sahihi.

Katika kuipa umakini wadau wananambia namba zenye mfumo huu huwa ni za kuitwa ktk usaili, nikataka kujua kutoka humu kama kuna mwenye uzoefu na hili hasa kwa hii namba ili kama ni kweli nipajue nione namna ya kujisalimisha.

Huwa natuma maombi maeneo kadhaa hivyo ni ngumu hata kuhisi...
ANY SERIOUS THOUGHT PLEASE..
 
Simple and Clearly.
Wapigie mtandao wa simu kwa line uliyo nayo na uwaulize kuhusu hizo namba ni za mtandao gani na wahusika wake wakoje ktk matumizi ya hizo namba.


Maana kuna mashirika na watu binafsi huwa wanaomba namba special kwa natumizi yao as if kuwapigia customers wao tu ila wewe ukipiga haiunganishwi.

Mfano, kipindi nipo kwny ajira kilanja wangu aka boss alikuwa na line ukimpigia basi kuna kamisheni anapata kwa kampuni ya simu aliyokuwa anatumia line.
 
Kwani unadhani namba ya usaili inatofauti gani na namba yako?
 
Wakati mwingine hao ni matapeli. Wlipopiga na hukupokea, basi wanastuka na kublock ili husiwapigie tena.

KUWA MJANJA - MJINI SHULE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom