Acha utoto"Samehe saba mara sabini "
Bongo elimu ya msingi miaka saba,
D-i-a-m-o-n-d herufi saba,
A-l-i-k-i-b-a Herufi saba,
7
7
7
7
7
Aisee🤔Matundu ya mwili wa binadamu yapo 7
Wiki ina siku 7
Duniani kuna mabara 7
Sawa Mama nimeachaAcha utoto
7 bwana kuupata undani wake ni ngumu sana.Najaribu kutafakari hii namba saba lakini ina niweka kunywe kutafakari zaidi hata kiimani zaidi.
Si geni kwa wale wanao jua dini kusikia kwenye vitabu biblia na Quran ikitaja siku saba za umbaji.
Lakini ki sayansi kupata ardhi leya saba kushuka chini.
View attachment 1646318
Angani napo ni saba
View attachment 1646319
Ukija kwenye ngozi kuna layer saba
View attachment 1646321
Kuna neno kitaalamu DNA lakini utambulika kujua vina saba(7)
Mpaka kujua mwisho wa ulimwengu wa anga lazima umalize mbingu saba
View attachment 1646329
Na hii nimoja inayotambulikaView attachment 1646331
Je na lile neno msamehe saba mara sabini
Tuchambueni jamani
Wanazengo
kila namba ina siri imifichwa ndani yak kam mafumbo na mjinga uwezi fumbuaa
Ukuryani hata kabla ya hizi dini hazijajja walikuwa wakianza msimu wa kazi, siku ya saba wanapumzika7 bwana kuupata undani wake ni ngumu sana.
Kwa kabila la wakurya huwezi kutoa mahari ya ng'ombe saba, huwezi kufanya sherehe yoyote mwezi wa saba, huwezi kumpa mtu zawadi yoyote yenye namba au jumla ya vitu saba nk. Kwa hiyo hii namba 7 ina siri kubwa sana.
saba saba. Sikukuu ya wafanyabiashara"Samehe saba mara sabini "
Bongo elimu ya msingi miaka saba,
D-i-a-m-o-n-d herufi saba,
A-l-i-k-i-b-a Herufi saba,
7
7
7
7
7
Naunga mkono hojaKibiblia 7 inamaanisha 'ukamilifu' hata neno 'saba' ni la kiebrania na maana yake ni utimilifu/satisfaction/completeness
Ndomana kuna
Makanisa saba ya ufunuo.
kila baada ya miaka 7 waisrael ilibidi wasamehe madeni na kachia watumwa.
Naamani aliambiwa na Elisha akaoge mtoni mara 7.
Waisrael waliuzunguka Jeriko mara saba, kwa siku saba wakiwa na Tarumbeta saba.
Ufunuo imejaa saba,Kuna malaika saba,mihuri saba,Tarumbeta saba,vikombe saba,Taa saba nk. nk.
Sent using Jamii Forums mobile app