mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,225
kuna tecno ziko vizuri kuzidi zile simu za obama zenye batani nyingi!
Mkuu tecno n7 naweza pata kwa sh ngapi dsm?
kuna tecno ziko vizuri kuzidi zile simu za obama zenye batani nyingi!
Mkuu tecno n7 naweza pata kwa sh ngapi dsm?
Mkuu tecno n7 naweza pata kwa sh ngapi dsm?
simu ya mchina majanga sana
1. betri inajaa baada ya dakika tatu
2. ndege ikipita simu inaandika 1 MISSED CALL
3. ukiwa karibu na jiko inaandika CHARGER CONNECTED na
4. ukipita karibu na mchina, inaonyesha NEW DEVICE FOUND.....!
Ni 330-350 njoo kariakoo
Mkuu naomba msaada Kama unaifaham hii Simu,tokea asubuhi naitafuta hiyo cell broadcast sijaipata.Nimechoshwa na hizi sms,nimebadili line sasa naletewa taarifa za mnara kila ninapohama eneo....Kwenye message setting disable cell broadcast
Na p3 jee?
Nunua TECNO Q1, inasimama kwenye 200,000 au 190,000.
Mkuu nimeinunua but inanizengua kuconnect rafiki yangu. niifanyeje?