Hii simu nimenunua jana,tokea niweke line ya tigo nimekuwa nikitumiwa sms iko hivi "CH(50): TIGO PESA *150*01#"Hadi sasa zimeingia sms zaidi ya 150,nimechoka kabisa.Nimewapigia tigo wanasema tatizo ni kwenye simu.Nifanyeje wakuu
simu ya mchina majanga sana
1. betri inajaa baada ya dakika tatu
2. ndege ikipita simu inaandika 1 MISSED CALL
3. ukiwa karibu na jiko inaandika CHARGER CONNECTED na
4. ukipita karibu na mchina, inaonyesha NEW DEVICE FOUND.....!
haaaaa hiii techno p 3 ipo fresh sna tatizo ni jinsi ya kufanya application baaada ya kudownload nizisave kwenye Sd card anayejua plz
mnaotaka kushauriwa simu ya kununua ni lazima utaje simu unayotumia sasa na simu unayotaka kununua la sivyo mtadanganyana tu hapa
mkuu kama ni kile ki ideos kidogo kwenda p3 utakua umepanda juu sio mbaya, kuhusu perfomance itaongezeka ila quality ulikotoka na unapokwenda ni sawa tu.mkuu kwa sasa natumia ideos sas nataka kubadili ni nunue Tecno P3,vp inaperform vizuri?
mkuu kwa sasa natumia ideos sas nataka kubadili ni nunue Tecno P3,vp inaperform vizuri?
ushauri wako mkuu,me mwenyew nataka kuinunua sasa sijajua kama inaperfom vizur
haaaaa hiii techno p 3 ipo fresh sna tatizo ni jinsi ya kufanya application baaada ya kudownload nizisave kwenye Sd card anayejua plz
simu ya mchina majanga sana
1. betri inajaa baada ya dakika tatu
2. ndege ikipita simu inaandika 1 MISSED CALL
3. ukiwa karibu na jiko inaandika CHARGER CONNECTED na
4. ukipita karibu na mchina, inaonyesha NEW DEVICE FOUND.....!
ushauri wako mkuu,me mwenyew nataka kuinunua sasa sijajua kama inaperfom vizur
Nunua TECNO Q1, inasimama kwenye 200,000 au 190,000.