Namba mpya za magari zaja

Kweli jirani leo umeamu kudumisha mila kabisa; kwani hii mada mtu unaweza kuchangia nini tofatuti na kutaja hizo namba; no point to deal with elite guys out there. Tafuta mada ya maana watu wadadavue
 
Jamii Forum ni sehemu ya kuelimisha, kukosoa, kurekebisha na kutoa mwelekeo kwa jamii at large. Mbona wewe Kashaija unataka kuifanya sehemu ya jokes???? Please, mods fanyeni filtering ya postings. Kuna watu wengine wameingia hapa kuwa member kwa sababu wametumwa kuharibu hapa. Pengine vigogo wanaowatuma hawana muda na forum zaidi ya walio nao kwa misheni town zao au pengine hawajui hata kufungua computer zaidi ya kukaa mezani kupanga au kusaini fake contracts au kupanga deal.

Please, observe JF rules and guidelines. Mod hebu post neno la elimisho kwa members. Thanks.

Maane hii post iko kwenye jokes/utani na watu tunakuja huku kucheka na kupumzisha mawazo sasa kama we unataka ulioyataja yapo pia,ndio maana ya kuwa na sehemu nyingi kuhudumia watu wa aina na mahitaji tofauti.Mara moja moja tembelea mambo ya kikubwa pia.
 
Nimeenda home majuzi nikakuta accountant ofisini kwetu kanunua Mitsubishi yake T 3_8 ASS. Halafu ni mlokole huyo dada!
 
Back
Top Bottom