....What's special guys?? It's just vehicle registration number mambo mengine nyie ndio mnatengeneza.....Kashaija move on!!!!!!!!!!!!!!!!!!Kwanini mnaona aibu kujadili kitu ambacho baada ya muda mfupi mtakiona? Hivi kama kuna namba T 444 ABA, T 213 ADW, T 255 ANA, huoni huko tuendako tutapata hizo namba?
Nadhani cha kufanya ni kwamba tujadili kwa pamoja namna tunavyoweza kufikisha ujumbe mapema kwa wahusika ili namba hizo zirukwe.
Nimesahau nyingine moja; T 247 TIA.
hII JE?T 201 UCH
hii je?t 201 uch
Jamii Forum ni sehemu ya kuelimisha, kukosoa, kurekebisha na kutoa mwelekeo kwa jamii at large.[/COLOR] Mbona wewe Kashaija unataka kuifanya sehemu ya jokes???? Please, mods fanyeni filtering ya postings. Kuna watu wengine wameingia hapa kuwa member kwa sababu wametumwa kuharibu hapa. Pengine vigogo wanaowatuma hawana muda na forum zaidi ya walio nao kwa misheni town zao au pengine hawajui hata kufungua computer zaidi ya kukaa mezani kupanga au kusaini fake contracts au kupanga deal.
Please, observe JF rules and guidelines. Mod hebu post neno la elimisho kwa members. Thanks.