LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Ndugu wana JF,
inavyo onekana ni watu wa karibu wanamtumia binti huyu kunichafua kwa sms za kashfa,matusi.nimefanikiwa kumjua ni nani,anabip muda wote ni siku ya 3 sasa
Sipendi kesi ni kama itanipotezea muda.
Nipeni ushauri nifanye nini?
Naweka jamvini
inavyo onekana ni watu wa karibu wanamtumia binti huyu kunichafua kwa sms za kashfa,matusi.nimefanikiwa kumjua ni nani,anabip muda wote ni siku ya 3 sasa
Sipendi kesi ni kama itanipotezea muda.
Nipeni ushauri nifanye nini?
Naweka jamvini