Namba 8 Imepotea!

Namba 8 Imepotea!

Registered_jf

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2024
Posts
920
Reaction score
1,454
Kuanzia leo namba 8 haipo! ! !

Itatubidi tuhesabu ...5, 6, 7, 9, 10....

Mwenye wasifu wa namba 8 atusaidie ili tutangaze kumtafuta!

Huyu namba 8:
1) Kwao wapi?

2) Baba yake ni nani?

3) Tunaomtafuta tusingekuwepo kwenye dunia hii, je namba 8 angekuwepo? Au namba 8 ni maruweruwe yetu tu?

Nimehangaika kutafuta wasifu wa namba 8, nimeambulia wasifu huu wa ndugu yake namba 8, namba 8 katajwa humo kidogo angalau nimepata mwanga.

Namba 8 imepotea!


View: https://youtu.be/41bIJ7hYbLs?si=mDC9Zxf07mAQTPxo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom