NAMBA 16 ni namba ya WASICHANA.

NAMBA 16 ni namba ya WASICHANA.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,130
Namba 16 imeitwa jina la kuwa ni NAMBA YA WASICHANA kutokana na wengi wao kudanganya umri kwa wapenzi na marafiki zao.
msichana mwenye miaka 14 ama 15 anasema ana miaka 16,msichana ana miaka 17 ama 18 ama hata 19 anakomaa kuwaamisha watu kuwa ana miaka 16.
INASEMEKANA WANAWAKE(wasichana) WENGI WANAITUMIA NAMBA 16 kudanganya umri wao.
Hebu niambieni kila mmoja kama amepata kudanganya umri mara nyingi zaidi kwa kutumia umri wa miaka 16 na kwa nini mnatumia zaidi miaka 16???
How old are?Jibu:16 kumbe hapana.
NILIFANYA PIA KAUCHUNGUZI KADOGO BAADA YA KUONA HII nikabaini kuna ukweli fulani japo sababu kwa wasichana kufanya hivi sikuzibaini mana wahusika hawakubainisha sababu.
 
Hahahahahah, umebidi nicheke aisee, half an hour ago, I met this chick and ask her her, how old are you, you what she said, I'm sixteen, lakin ukiangalia sura,umbile n kabibi fulan kapo kwenye 30ties Kama mm
 
Hahahahaaa!
Mkuu kama ulikuepo!
Kipindi kile wananiitaga fataki, khaa vile videmu vyote viliniambia vina 16yrs!
Yaani leo kama umenifumbua macho! Hapa naamini wengine walinidanganya!
 
me nilijua kuna zaidi hutumika kumbe age peke yake akhaaa ngoja nkalale
 
Hahahahahah, umebidi nicheke aisee, half an hour ago, I met this chick and ask her her, how old are you, you what she said, I'm sixteen, lakin ukiangalia sura,umbile n kabibi fulan kapo kwenye 30ties Kama mm

Ha ha ha ha ha,eti wadada kwa nini mnapenda kuonekana mna miaka 16.
 
Hahahahaaa!
Mkuu kama ulikuepo!
Kipindi kile wananiitaga fataki, khaa vile videmu vyote viliniambia vina 16yrs!
Yaani leo kama umenifumbua macho! Hapa naamini wengine walinidanganya!

Na wewe yamekukuta eeh ya miaka 16.
 
Sweet sixteen,had tayro swfit ,n2k wameimba
 
sa unikute kikongwe heaven hapa,agee imeenda halafu nidanganye 16........,

hivo no vibint vinavyokuwa sie siku hizi hatudanganyi umriii tuna mambo yetu makubwa tunayodanganya
 
me sijawahi kukutana na hiyo
ila najua women lie abt their age
 
sa unikute kikongwe heaven hapa,agee imeenda halafu nidanganye 16........,

hivo no vibint vinavyokuwa sie siku hizi hatudanganyi umriii tuna mambo yetu makubwa tunayodanganya

mmh mambo makubwa mhh
usije tu msingizia mtu mtoto dhambi
 
inachekesha yan mtu mzima akaseme ana 16? hzo ni jokes za kimahaba.
 
Sielewi mpaka leo, ni kwa nini baadhi ya akina dada hupenda waonekane wadogo hata kama sura zao zimekomaa vipi!
 
Back
Top Bottom