Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Nakaribia kumaliza chuo Nina mtaji wa laki 8 sijui nikaziweke wapi hizi pesa kibiashara! Lengo La kwanza ni kwenda kuuza bidhaa ndogondogo za urembo..
Option ya pili nikainunue salon ya kiume Kuna jamaa nasikia anauza hiyo kitu.
Hapa nilipo nina huo ujuzi Sasa wakuu kabla sijaingia kichwa kichwa hizi pesa nisije jutia badae Naombeni wakuu nisaidieni mawazo hapa.
Chondechonde wakuu nisaidieni mawazo chanya msije nitia mchanga wa uso nikaona giza mbeleni. Asanteni!
Option ya pili nikainunue salon ya kiume Kuna jamaa nasikia anauza hiyo kitu.
Hapa nilipo nina huo ujuzi Sasa wakuu kabla sijaingia kichwa kichwa hizi pesa nisije jutia badae Naombeni wakuu nisaidieni mawazo hapa.
Chondechonde wakuu nisaidieni mawazo chanya msije nitia mchanga wa uso nikaona giza mbeleni. Asanteni!