Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

MwanajamiiOne

Platinum Member
Joined
Jul 24, 2008
Posts
10,470
Reaction score
6,586
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
 
habari
leo naungana na dada yangu mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (by mwasiti)

hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

nauliza tu ndugu zangu maana...................mh

yamekukuta ndugu yangu.sema wakuu wakusaidie vinginevyo..........................mhhhhhhhhhhhhhh
 
Hapo Mwana tafuta kipoozeo cha pembeni anakuwa spare tyre ukiona uvundo unajirestisha kwa spare wewe huoni hata mafiga yapo matatu.
 
Mie nafikiri cha kwanza ni kuwa makini na maamuzi yako.Je ni kweli its the time to quit.Pia ni vizuri ukazungumza na hisia zako,je ni kweli hakuna utakachokuwa ukikimiss baada ya kulivua pendo na kama kipo je hauwezi kucompromise na maudhi unayoyapata.Yaani ukavumilia maudhi huku unapata unachokihitaji,kwani ndivyo maisha yalivyo.Mwisho usijekujaribu kupingana na hali halisi,if its over,it is.Ingawa katika uzoefu wangu nimegundua kutengeneza penzi imara is a process,Iam sure you know it my sister.
 
Hapo Mwana tafuta kipoozeo cha pembeni anakuwa spare tyre ukiona uvundo unajirestisha kwa spare wewe huoni hata mafiga yapo matatu.

Nalo hili neno mpwa.Anajua ila alitaka litoke kwako,maana wawili nyie kama simba na yanga
 
mtu ukishafikia maamuzi hayo ni kwamba ni kweli umechoshwa na hutakiwi kugeuka nyuma milele....kama kitu kimekushinda/kuchosha kwanini ung'ang'ane tu?
 
yamekukuta ndugu yangu.sema wakuu wakusaidie vinginevyo..........................mhhhhhhhhhhhhhh

. Ndugu yangu we walitwambia wahenga kua uyaone... na leo ninayaona ah!

Sina cha kusema mie yaani hapa kila kitu kizito! Akili haifanyi kazi, moyo unaniuma yet nimeshindwa mie ......
 
Hapo Mwana tafuta kipoozeo cha pembeni anakuwa spare tyre ukiona uvundo unajirestisha kwa spare wewe huoni hata mafiga yapo matatu.

............ Seriously Fidel Is that a solution kwa kweli?

Kwa niliyonayo sidhani kama natamani tena ulimwengu huu wa mapenzi!! Huyo kipoozeo ntamtesa tu bure!
 
. Ndugu yangu we walitwambia wahenga kua uyaone... na leo ninayaona ah!

Sina cha kusema mie yaani hapa kila kitu kizito! Akili haifanyi kazi, moyo unaniuma yet nimeshindwa mie ......


Pole sana ndugu yangu umefumania au umeletewa nyumba ndogo nyumbani kwako au mumeo/shemeji harudi kabisa? aiseeeeeeee pole ndo hapo unapoaambiwa mahusiano ni strategic decision siyo lele mama.

Pole sanaaaaaaa
 
............ Seriously Fidel Is that a solution kwa kweli?

Kwa niliyonayo sidhani kama natamani tena ulimwengu huu wa mapenzi!! Huyo kipoozeo ntamtesa tu bure!

Nakwambia hii ndo solution lakini hakikisha kipoozeo mnaenda kupima ili nawe uwe na uhakika na unachokitafuna.
Unaelewa nini maana ya mapenzi?
Si unataka usuuze nafsi na moyo wako uburudike basi hiyo ndo solution mbona yeye anasuuzika huko ambako hukujui?
 
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Pole sana ndo maisha yetu wanadamu yalivyo. Nilichojifunza ni kuwa ni lazima nijue kusameheana pia kupo especially kama kuna bond ya watoto maana vinginevyo rough zinazochezwa zitaathiri kila upande.
 
Mie nafikiri cha kwanza ni kuwa makini na maamuzi yako.Je ni kweli its the time to quit.
.. Kwa kweli mpaka hapa nilipofikia onadhani it is the time.... kwa sababu kama mwenzio amefikia hatua ya kuanza kutoona uwezekano wa ninyi kuwa pamoja (and say it) mwa muda ujao, achilia mbali maudhi madogo madogo na kashfa je bado si muda muafaka?

Pia ni vizuri ukazungumza na hisia zako,je ni kweli hakuna utakachokuwa ukikimiss baada ya kulivua pendo na kama kipo je hauwezi kucompromise na maudhi unayoyapata.Yaani ukavumilia maudhi huku unapata unachokihitaji,kwani ndivyo maisha yalivyo.
Sawa kabisa usemacho lakini unapozungumza na hisia zako bado unampenda na katu makosa yake huyaoni kama ni kitu kwani unampenda kwa dhati, unafanyaje? wakati yeye ndo anaonekana kabisa kuregrete kuwa na wewe na pia ameshaamua hataki tena kuendelea (ingawa anafungwa na sheria na hajui atatokaje-either kwa kuogopa lawama toka kwa watu)

Mwisho usijekujaribu kupingana na hali halisi,if its over,it is.Ingawa katika uzoefu wangu nimegundua kutengeneza penzi imara is a process,Iam sure you know it my sister.

.... Nakuelewa ndugu yangu. Na penzi imara linaweza kutengenezeka kama pana ushirikiano kati ya wawili nyie, siyo we unahangaika kulitengeneza wakati mwenzio lengo lake ni kuliteketeza
 
Nalo hili neno mpwa.Anajua ila alitaka litoke kwako,maana wawili nyie kama simba na yanga

Hehehe analijua hilo haamini kama hii ndo solution.
Hakuna haja ya kuunza kuwaza na kuumia moyoni wkt kitu kinatatulika tu simple. Watu wanaumia bure jaribu kuignore mambo yatakwenda bambam.
 
mtu ukishafikia maamuzi hayo ni kwamba ni kweli umechoshwa na hutakiwi kugeuka nyuma milele....kama kitu kimekushinda/kuchosha kwanini ung'ang'ane tu?

Dada yamenikuta sina hata nguvu ya kusema........ huweziamini hapa niko natiririkwa na machozi ka bomba la mvua! Sijui nifanye nini wala nianzie wapi!
 
Dada yamenikuta sina hata nguvu ya kusema........ huweziamini hapa niko natiririkwa na machozi ka bomba la mvua! Sijui nifanye nini wala nianzie wapi!

hehehehe utajuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kumfahamu.
 
Dada yamenikuta sina hata nguvu ya kusema........ huweziamini hapa niko natiririkwa na machozi ka bomba la mvua! Sijui nifanye nini wala nianzie wapi!
Pole sana ndio ukubwa.Lakini kama maisha yetu yalivyo kwamba tunakuja na kwenda, basi hata matatizo nayo yanakuja na kwenda. Jipe moyo utashinda.
 
Pole sana ndugu yangu umefumania au umeletewa nyumba ndogo nyumbani kwako au mumeo/shemeji harudi kabisa? aiseeeeeeee pole ndo hapo unapoaambiwa mahusiano ni strategic decision siyo lele mama.

Pole sanaaaaaaa

Bora yangekuwa hayo dada!

Hivi ulishawahi kuwa na mwenzio ukahisi kuwa anaregret kuwa na wewe (hisia zako tu) halafu siku ikatokea akakwambia tu out of no where- we do not have future? Halafu baada ya sentence hiyo akwambie chagua chochote utakacho uchukue halafu baada ya hapo husikii tena sauti yake?

Mbaya zaidi wewe uwe bado unampenda!
 
Nakwambia hii ndo solution lakini hakikisha kipoozeo mnaenda kupima ili nawe uwe na uhakika na unachokitafuna.
Unaelewa nini maana ya mapenzi?
Si unataka usuuze nafsi na moyo wako uburudike basi hiyo ndo solution mbona yeye anasuuzika huko ambako hukujui?

Fidel .......... shukuru MUNGU hayajakukuta ndugu yangu !
 
Pole sana ndio ukubwa.Lakini kama maisha yetu yalivyo kwamba tunakuja na kwenda, basi hata matatizo nayo yanakuja na kwenda. Jipe moyo utashinda.

Ndahani nashukuru kwa kunipa moyo ila mh maana kama kuvumilia ni mwngi nimevumilia lakini mwishoni naona nashindwa. kwa nini mimi tu, mimi tu niwe nabembeleza kila siku hata kama makosa kafanya yeye?
mimi tu niwe naumia kwa sabau yake?... kwa nini mimi tu ndo niwe nahangaika to make it work? ... mimi tu why mimi tu? jamani ah
 
Bora yangekuwa hayo dada!

Hivi ulishawahi kuwa na mwenzio ukahisi kuwa anaregret kuwa na wewe (hisia zako tu) halafu siku ikatokea akakwambia tu out of no where- we do not have future? Halafu baada ya sentence hiyo akwambie chagua chochote utakacho uchukue halafu baada ya hapo husikii tena sauti yake?

Mbaya zaidi wewe uwe bado unampenda!


Ndugu yangu pole kweli hapo ni pakubwa na sijui kama utapata ufumbuzi wa haraka kikubwa tafuta vacation kakae mbali na eneo alipo ili ujitulize kabisa.

Ila ndugu yangu mlikuwa kwenye ndoa au mahusiano ya kimapenzi tu.kama ni ndoa basi mwaweza mshirikisha hata aliyewafungisha ndoa kama muwa wakristo au shekh kama muwaislam.

Kingine mlibahatika kuwa na watoto?kama bado hilo halitakufaa angalia chanzo cha yote hayo kwa kuwa kama imetokea mara moja na ghafla jaribu kukaa chini fikiria kitu kilichopelekea hayo yote.

ni hayo tu ndugu yangu.once again pole sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom