Naliona anguko la mbunge wa Mbeya Mjini

Naliona anguko la mbunge wa Mbeya Mjini

Mheshiwa Sugu ni miongoni mwa wabunge waliochaguliwa kwa kishindo kiasi kwamba wananchi walifulika eneo la kuhesabia kura kulazimisha matokeo yatangazwe halaka na ikawa hivyo Sugu akawa mbunge.

Tangu aingie bungeni impact yake kwenye jimbo lake la uchaguzi haijaonekana na pengine imefika mahala baadhi ya watu wameanza kufikiria tofauti juu ya mbunge huyo na pengine kusema wazi kuwa hana anachofanya zaidi ya kubishana bungeni kwa mambo ambayo hayana msaada kwa jimbo lake la uchaguzi.

Kikubwa kinachosubiriwa Mbeya Mjini ni uchaguzi mkuu ili wakazi wa Mbeya waamue vinginevyo na uzuri wa watu wa Mbeya wanachagua mtu si chama kwa hiyo itategemea Sugu atapambana na nani toka vyama vingine ktk uchaguzi mkuu ujao.

Mkuu huna uhusiano na Kibwetere? Sijakuelewa! Ingekuwa vema ukaeleza ni impact gani ulitaka uione tokana na ubunge wa Sugu hapo Mbeya Mjini. Ukijenga tabia ya kulalamika tu bila sababu ni hatari. Kandoro amewafanyia nini ukilinganisha na Mwakipesile mliyemkataa?
 
Mtaalamu mmoja wa lugha aliwahi kusema kuwa watu wengi hasa waafrika hawataki watu wao wasemwe kwa chochote hata kama wanamapungufu ndicho ninachokiona kwa baadhi ya watu humu jf.

Na kwa tabia hii, kama si mchawi tayari basi ikifika uzeeni wewe utakuwa mchawi tena hatari.
 
Umeandika sawasawa mkuu, hata mimi iki kitu nakiona, na sio Sugu tu, na wengine wengi wa CHADEMA hawatarudi 2015 pale bungeni.

Hata wa ccm wapo ambao hawatarudi. Muhimu mtoa hoja alitakiwa kutoa data to support his claims. Analalama utafikiri kipato cha Sugu kuhusiana na ubunge kinamnufaisha pia yeye hivyo anahofu Sugu akikosa ubunge survival yake itakuwa mashakani!
 
acheni ushabiki wa vyama tujadili kafanya nini mbeya .........mbunge awe wa ccm au chadema au chama kingine cha upinzani akileta maendeleo ni ya sisi wote .........akichemka sisi wote tunaumia ....ni vizuri wakati mwingine tujadili maendeleo na tuache siasa za vyama .......mleta mada anasema sugu hajafanya chochote ........kama kuna mwingine anaua tofauti amjibu ........ni mbunge wa chadema ndio lakini maendeleo yakiletwa mbeya ni ya wote sio chadema tuu
 
Mheshiwa Sugu ni miongoni mwa wabunge waliochaguliwa kwa kishindo kiasi kwamba wananchi walifulika eneo la kuhesabia kura kulazimisha matokeo yatangazwe halaka na ikawa hivyo Sugu akawa mbunge.

Tangu aingie bungeni impact yake kwenye jimbo lake la uchaguzi haijaonekana na pengine imefika mahala baadhi ya watu wameanza kufikiria tofauti juu ya mbunge huyo na pengine kusema wazi kuwa hana anachofanya zaidi ya kubishana bungeni kwa mambo ambayo hayana msaada kwa jimbo lake la uchaguzi.

Kikubwa kinachosubiriwa Mbeya Mjini ni uchaguzi mkuu ili wakazi wa Mbeya waamue vinginevyo na uzuri wa watu wa Mbeya wanachagua mtu si chama kwa hiyo itategemea Sugu atapambana na nani toka vyama vingine ktk uchaguzi mkuu ujao.

Hii ndiyo tuhuma yako dhidi ya Mh. Joseph Mbilinyi

Nakanusha uyasemayo nipo Soweto mbeya!!!mabadiliko tunayaona,pia sugu kaanzisha mfuko wa elimu unawasaidia watu,Hospital ya Meta kulikuwa hakuna vitanda now vipo,tangu kuumbwa kwa dunia mbeya kulikuwa hakuna lami katika mitaa zaid ya main road now zinatengenezwa,useme hiyo kaul ukiwa mbeya utapigwa mawe aisee

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Majibu kutoka huko huko Mbeya na uzuri haujapinga ila ukamtaja mtekelezaji wa hayo yaliyotajwa


Acha uongo meta hospito niwahi kwenda nikiwa nasoma iyunga kumsalim dada alikuwa ktk kitanda unaongea meta ipi,barabara wanajenga h/mashauri siyo sugu we vipi acha uchanga wa mambo.

Hao uliowataja kwenye blue.

hueleweki,sasa ulitaka Sugu afanye nini? KWELI MAGAMBA NI MAITI.

Kama mimi DALLAI LAMA kakushangaa, lakini mimi nimeenda mbali zaidi na kujiuliza kama (mwalimu) huko hivi kichwani mwako je wanafunzi wako hapo shuleni wanavuna nini kwako?.
 
Last edited by a moderator:
nani kakwambia kwamba Sugu atagombea tena!

Join Date : 20th April 2013
Posts : 184
Rep Power : 338
Likes Received10
Likes Given kibwete tumesha kusamehe bure,maana vijana wa lumumba kazi kuingia na majina feki,so kalambe buku 7 kwa Nape
 
Last edited by a moderator:
Anguko unalo wewe uliotimuliwa cdm unalo!
 
Mtaalamu mmoja wa lugha aliwahi kusema kuwa watu wengi hasa waafrika hawataki watu wao wasemwe kwa chochote hata kama wanamapungufu ndicho ninachokiona kwa baadhi ya watu humu jf.

Onyo ama Angalizo nikosa kusema Mtaalam mmoja hana jina ? kadanyanye lumumba
 
Mheshiwa Sugu ni miongoni mwa wabunge waliochaguliwa kwa kishindo kiasi kwamba wananchi walifulika eneo la kuhesabia kura kulazimisha matokeo yatangazwe halaka na ikawa hivyo Sugu akawa mbunge.

Tangu aingie bungeni impact yake kwenye jimbo lake la uchaguzi haijaonekana na pengine imefika mahala baadhi ya watu wameanza kufikiria tofauti juu ya mbunge huyo na pengine kusema wazi kuwa hana anachofanya zaidi ya kubishana bungeni kwa mambo ambayo hayana msaada kwa jimbo lake la uchaguzi.

Kikubwa kinachosubiriwa Mbeya Mjini ni uchaguzi mkuu ili wakazi wa Mbeya waamue vinginevyo na uzuri wa watu wa Mbeya wanachagua mtu si chama kwa hiyo itategemea Sugu atapambana na nani toka vyama vingine ktk uchaguzi mkuu ujao.

Tatizo la mkoa wa Mbeya ni kwamba kuna wabunge wa chama cha magamba ambao kukaa kwao bungeni kwa muda mrefu kumewapa hati miliki ya majimbo yao hata kufikia kiburi cha kujifanya wao ndio wafadhili wa wabunge wa majimbo mengine!!! Muamzishaji wa thread hii sina shaka ni mmoja kati ya hao wabunge wa magamba ambao wao wenyewe hawatarudi bungeni 2015 licha ya kujishuhulisha na kutaka kuwapandikiza washindani wa SUGU!!!
 
Sugu si tatizo tatizo ni uwezo wake mdogo wa kuchanganua mambo ndo tatizo ila tumpe muda awakilishe vijana waliomchagua pale MB
 
mi naishi block t,jiran na makao ya Sugu na Mary Mwanjelwa,kiukweli sion tofauti ya Sugu na Mpesya,wote chenga tu..


Mkuu,

Mimi pia ninaishi huo mtaa unaousema, jaribu kuwa smart na kueleza ni kwa vipi Sugu na Mpesya hawatofautiani. Jaribu kuwa smart uende na hoja. Ukisema Sugu chenga, jaribu kueleza uchenga wake ili wewe pia uepuke kuwa chenga.

Italeta maana ikiwa mnao-mdiss Sugu mtatumia bongo zenu ku-analyse ubunge wake vinginevyo hamuwasaidii wasiojua vigezo vya mbunge anayefaa-ikiwa ninyi mnavijua. Vinginevyo mmaanishe kuwa umati unaomshangiliaga Sugu kama ule wa juzi RWAND-NZOVWE huwa unajaa vilaza wasiojua wakifanyacho.

Elimu ina maana ikiwa inatumika, isipotumika (kama kwenye vichwa vya watu kama wewe) haina maana.

I miss 2015...............................
 
Anguko lipi,leo kwenye mei mos mbona kiwanja hakina watu au sio mwenyekit wa magamba alikuwa mgen rasmi hahahaaaaaa
 
Ni ndoto za kuota ukiwa macho. Mbeya ipi unayoizungumzia we mbwa? Yaan mbeya ichukuliwe na MAJANGILI CCM! Sahau.
 
wacha we umetema vya kutema sasa unaondoka....halafu leo hukuoga sasa utalala kitanda cha nani...
 
Vema mkuu mimi pia natokea mbeya nafundisha sinde sekondari,mwanjelwa ndo mitaa yetu skani kwa mama joni nadhani unapapata tulimchagua sugu kwa imani kubwa hamna alichofanya nini kaka,pengine kamudu kutuliza maandamano ya wamachinga tu basi,kwenye vikao anatukana tu,ilitokea kwenye kikao cha kuchagua wanafunzi w kwenda sekondari alitoa matusi hatukuamini halafu akaondoka.

Kwenye bandiko no. 12 hapo juu umeulizwa maswali ya msingi sana lakini majibu unayotoa ndo haya ambayo hayaendani kabisa na maswali uliyoulizwa. Sasa unafikiri watu watakuamini kweli pamoja nakuwa unataka wafanye hivyo? Watakuweka kundi moja na hao hao unaosema wewe si mmoja wao.
 
Unataka sugu amnunulie mkeo c..pi ndo ujue anawajibika?bila shaka umepga kinana premium lager,
 
Mkuu umeandika lakaini hujwasilisha hoja nini? Kashindwa kufanyani kulingana na matarajio ya wana Mbeya.
 
Back
Top Bottom