Naliona anguko la mbunge wa Mbeya Mjini

Naliona anguko la mbunge wa Mbeya Mjini

Hizi viroba punguzeni unapost kitu ambacho aujafanyia utafiti
 
sugu naye ni walewale mazero hata michango yake bungeni ni vituko vitupu sijui kama atachaguliwa tena.
 
Kweli mnalipwa vizuri angalia mtu mwenyewe ndo kwanza kaingia jf juzi tuu tarehe 20/04/2013 hawa ni kati ya wale waliokodishwa.
 
Kazi ya Mbunge ni kuchochea maendeleo kwenye jimbo lake! serikali ya CCM inawajibu wa kuleta maendeleo pamoja na maisha bora kwa kila mtanzania! CCM na wabunge wake ndio wana wakati mgumu 2015.

Pia subili uone joto la siasa 2015,upepo utavuma wapi?? Kashfa ya ujangili dhidi KINANA ni advantage kwa Chadema kulekea 2015.
 
Umeona eeh!?
Huyu Mbunge ni bure tu yupo kwa maslahi ya Chama chake na wahuni flani hivi........laklini hakuna la Maendeleo alilolifanya Mbeya.
 
Mtaalamu mmoja wa lugha aliwahi kusema kuwa watu wengi hasa waafrika hawataki watu wao wasemwe kwa chochote hata kama wanamapungufu ndicho ninachokiona kwa baadhi ya watu humu jf.

Mtaalamu wa lugha ndio anatoa utaalamu wa saikolojia? Mwe....nyie watu
 
Back
Top Bottom