Bullshit
Fact mkuu
Fact mkuu
Kwanini tunapenda kuwakatisha tamaa watu wanaojaribu vitu fulani??Kwann uombee waachane na Sarah ww kama nani??Mungu ndio aliyewaunganisha , na umejuaje kama anategemea hela za ukweni, acheni chuki zenu, tunapaswa kuombeana mema na sio kumuombea mwenzako aanguke, sijui utapata furaha gani
Mkipewa criticism kwa mnachokipenda mnaona ni hatred.
Harmonize hana hit song yoyote aliyoimba mwenyewe ukiachana na Aiyola ambayo nayo alipromotiwa na mtu flan.
-it z so sad, floppy z hunting mmakonde.
Bado sana,Ili anguko bado tu jamani