Naliona anguko la CCM mwaka 2025

Naliona anguko la CCM mwaka 2025

Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe

Nini maoni yako?


#mtotowaafrika
#kazindokazi
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe

Nini maoni yako?


#mtotowaafrika
#kazindokazi
CCM haiwezi kuanguka kwa maana inazijua siasa dola vilivyo. Hofu yangu, kuna baadhi ya wanasiasa ndio watakaoanguka ili kukinusuru chama kiendelee kushika dola. Hata ikibidi kuondolewa Mwenyekiti.
 
Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe

Nini maoni yako?


#mtotowaafrika
#kazindokazi
To start with ni wapinzani wepi hao unao wazungumzia wa kuireplace CCM?.
P
 
Tangu 2010, binafsi naamini CCM hawajawahi kushinda uchaguzi ....... wanajitangazia tu matokeo kwa namna wanavyotaka wenyewe.
Mkuu khoisan, ungesema kwa Zanzibar, labda you would have been right, lakini kwa huku Bara, kuna upinzani gani wa kuishinda CCM?, kama wewe unaamini kabisa CCM haijawahi kushinda uchaguzi, unamaanisha wapinzani ndio huwa wanashinda!, hebu tushirikishane japo kidogo tuu, ni wapinzani gani hao huwa wanashinda?.
P
 
kwa hiyo wewe ulitaka makatazo yaendelee na utekaji uendelee? wizi wa kura live live uendelee ili kuilinda CCM ?

Kila jambo lina mwisho wake ndugu, hata Dola ya warumi ilianguka itakuwa CCM sheikh?

Wape wananchi haki zao... katiba iheshimiwe na wote, sheria za nchi ziheshimiwe - ukitekeleza haya basi wewe ni kiongozi bora. Usitawi wa Tanzania kwanza mengine baadaye.
Hebu fikiria, ota ndoto. Leo hii tuna Rais Tundu asiye na madaraka watoto wake raia wa Ubelgiji. Kuna na Waziri Mkuu Heche mwenye madaraka yeye ni mjaluo wa Kenya. Waziri wa Fedha ni Mbowe raia wa Dubai mkewe raia wa Marekani anaishi huko First Lady. Supika ni Fr. Msigwa.
 
Mkuu khoisan, ungesema kwa Zanzibar, labda you would have been right, lakini kwa huku Bara, kuna upinzani gani wa kuishinda CCM?, kama wewe unaamini kabisa CCM haijawahi kushinda uchaguzi, unamaanisha wapinzani ndio huwa wanashinda!, hebu tushirikishane japo kidogo tuu, ni wapinzani gani hao huwa wanashinda?.
P
Mkuu, kwa Zanzibar it's obvious.

Huku Bara, kwa jinsi matokeo yalivyotolewa 2010 na 2015 you could tell kuwa CCM waligalagazwa. Binafsi naamini Dr. Slaa alimgalagaza JK 2010 na Lowasa alimgalagaza JPM 2015. Unafikiri ni kwa nini JPM aliamua kuchafua uchaguzi wa 2920!!? Wewe ni mwandishi wa habari, you should know better. Circumstantial evidence zinaonyesha hivyo na No. 2 wa Lowassa alishaeleza hiyo.
 
Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe

Nini maoni yako?


#mtotowaafrika
#kazindokazi
Mkuu CCM hii ya Tanzania au kuna CCM nyingine?
 
Mkuu

Duru za humu JAMVINI zinaonyesha hakuna Chama kilichopo cha siasa cha upinzani chenye sifa za kushika DOLA wala hakina Baraka za wenye nchi na mamlaka za kushika HATAMU!

Wapinzani watabaki kuisimamia Serikali ya CCM isiharibu Hadi pale CCM itakapoamia yenyewe Nani na yupi azaliwe kama Chama apewe DOLA!!

Kwanini kujichosha na fikra hizo!?

Kubali UKWELI upone nafsi!

Kura kuwa nyingi sio kigezo cha kushika DOLA,je una Baraka za wenye DOLA na mamlaka!?

Labda ungekazia katiba mpya ipatikane ILI ajaye asiharibu coz katiba pekee haitoshi kumpa Baraka mpinzani kushika hatamu HATA kama kashinda je ana Baraka za DOLA kupewa DOLA!!?

"Mzee warioba ajumuishwe kwenye kamati teule tarajali ya RAIS Samia ILI mchakato wa katiba mpya ukamilike mapema"!
 
Mkuu, kwa Zanzibar it's obvious.

Huku Bara, kwa jinsi matokeo yalivyotolewa 2010 na 2015 you could tell kuwa CCM waligalagazwa. Binafsi naamini Dr. Slaa alimgalagaza JK 2010 na Lowasa alimgalagaza JPM 2015. Unafikiri ni kwa nini JPM aliamua kuchafua uchaguzi wa 2920!!? Wewe ni mwandishi wa habari, you should know better. Circumstantial evidence zinaonyesha hivyo na No. 2 wa Lowassa alishaeleza hiyo.
Hili nililieza hapa uchaguzi wa 2015 Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!, kwa huku bara hakuna upinzani wa kuiondoa CCM!.

Uchaguzi wa 2020 kwenye urais nikasema Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu? na kwenye ubunge pia nikasema Uchaguzi 2020 - Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Na naendelea kusisitiza Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Back
Top Bottom