King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 2,209
- 3,025
CCM ni limbuyu likubwa hamliwezi jameni, msubiri labda mwaka 3040 litaunguka lenyewe likiwa limetimiza life span yake.
CCM ilianguka rasmi 2015 ila haikufa bali ikabaki chumba cha mahututi kwa msaada wa dolaNikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
Chadema ndio kuna anguko kubwa bado wanasiasa za kishamba sana ,hawataki kubadilika kabisq japo ccm hakuna watu sahihi lkn hapana kuwapa chademaNikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
Haliwezi kutokea anguko kama la 2020 mumshukuru tu shetani kwani ali-play part yake vizuri.Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
Kwani mpinzani wa kweli anakuaje??Shida yetu bongo ni moja tu..hakuna mpinzani wa kweli..wote wachumia tumbo tu,mm nikaonaga nikae pembeni kushabikia siasa
Mandonga atakuwa mbunge wa viti maalumuNikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
Anguko la mgombea wa KIJANI nimeliona,Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
Kama bado ni bado tu lakini muda wa kuanguka ukifika miti yote huwa inateleza !!Hakuna anguko ndio kwanza wanajiimarisha. Labda Wakenya watutonye namna walivyoangusha KANU.
Iangushwe CCM ? Na nani na hawa watoto wa mjini vyama vya upinzani ambao vijijini hawako ambako asilimia 80 ya watanzania ndio wanajoishi na matawi ya CCM yako vijiji vyoteNikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi
UongoCCM ilianguka rasmi 2015 ila haikufa bali ikabaki chumba cha mahututi kwa msaada wa dola
So unataka tukuamini wewe au?Wapinzani awa akina mboowe na zto thubutu hawa wamekula mkataba mrefu MMO nyie endeleeni kuwategemea
Anguko tena!! Sasa chawa watakula wapi?Nikiangalia mwenendo wa nchi na siasa za Tanzania naliona ANGUKO LA CCM 2025 kama wapinzani wakiwa na mkakati kabambe
Nini maoni yako?
#mtotowaafrika
#kazindokazi