figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Umenipita speed kali mida hii ukieleka uwanja wa ndege ukiwa na msafara wa magari mengi. Roho imeniuma sana kwa jinsi unavyo teketeza kodi zetu sisi walala hoi.
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia