Nakusihi usije mjini

Nakusihi usije mjini

ndonilivyo

Member
Joined
Sep 9, 2022
Posts
33
Reaction score
39
~ Mchele kilo 3,000, ukila robo inakuhitaji 5kg kwa mwezi ambayo ni sawa na 15,000 (siyo ulaji wa kila siku).

~ Unga wa ugali kilo 2,000, unahitaji kilo 5 - 10 kwa mwezi ambayo inagharimu 20,000 kwa mwezi.

~ Mafuta ya kupikia 1litre 6,000 - 9,500.

~ Bajeti ya mboga na viungo vyake 3,000 kwa mwezi 90,000.

~ Gas 25,000 - 28,000

~ Nauli 2,000 - 5,000 KWA mwezi tufanye 100,000.

~ Expenses 100,000 eg sabuni, mafuta ya kupaka, umeme, maji n.k.

Hayo ni matumizi ya mtu bachelor, hapo hajaumwa wala kuhonga, hajatuma pesa nyumbani wala kununua nguo, hujamwagilia moyo, hasomeshi, yaani hayo ni maisha basic kabisa ya yeye kusavaivu.

Mwisho wa mwezi anakunja 300,000 - 500,000 mshahara basic kwa kampuni nyingi hapa mjini Daslamu bila kodi wala makato mengine.

Ni kipato cha machinga, fundi selemala, mwashi, cherehani, garage, dereva n.k, baada ya kutoa matumizi ya office.

Eti jamani, mnatuona tuliokuwa Daslamu tunafaidi eeh?
 
Mchele kilo 3000 ukila robo inakuhitaji 5kg KWA mwezi ambayo ni sawa na 15000 (sio ulaji wa kila siku)

Unga wa ugali kilo 2000 unahitaji kilo 5-10 KWA mwezi ambayo inagharimu 20000 kwa mwezi

Mafuta ya kupikia 1litre 6000-9500

Bajeti ya mboga na viungo vyake 3000 KWA mwezi 90000

Gas 25000-28000

Nauli 2000-5000 KWA mwezi tufanye 100000

Expenses 100000 eg sabuni, mafuta ya kupaka umeme, maji nk.


Hayo ni matumizi ya mtu bachelor hapo hajaumwa wala kuhonga hajatuma pesa nyumbani wala kununua nguo, hujamwagiria moyo, hasomeshi, yaani hayo ni maisha basic kabisa ya yeye kusavaivu.

Mwisho wa mwezi anakunja 300000-500000 mshahara basic KWA kampuni nyingi hapa MJINI daslamu Bila kodi wala makato mengine.

Ni kipato cha Machinga, Fundi selemala, mwashi cherehani, garage dereva nk bàada ya kutoa matumizi ya office.


Eti jamani mnatuona tulioko daslamu tunafaidi eeh?
Mbona we huhami?
 
Mchele kilo 3000 ukila robo inakuhitaji 5kg KWA mwezi ambayo ni sawa na 15000 (sio ulaji wa kila siku)

Unga wa ugali kilo 2000 unahitaji kilo 5-10 KWA mwezi ambayo inagharimu 20000 kwa mwezi

Mafuta ya kupikia 1litre 6000-9500

Bajeti ya mboga na viungo vyake 3000 KWA mwezi 90000

Gas 25000-28000

Nauli 2000-5000 KWA mwezi tufanye 100000

Expenses 100000 eg sabuni, mafuta ya kupaka umeme, maji nk.


Hayo ni matumizi ya mtu bachelor hapo hajaumwa wala kuhonga hajatuma pesa nyumbani wala kununua nguo, hujamwagiria moyo, hasomeshi, yaani hayo ni maisha basic kabisa ya yeye kusavaivu.

Mwisho wa mwezi anakunja 300000-500000 mshahara basic KWA kampuni nyingi hapa MJINI daslamu Bila kodi wala makato mengine.

Ni kipato cha Machinga, Fundi selemala, mwashi cherehani, garage dereva nk bàada ya kutoa matumizi ya office.


Eti jamani mnatuona tulioko daslamu tunafaidi eeh?
Kwamba hizo bei ni za daslam peke yake?
 
Ndo maana ikaitwa bongo. Hili no jiji la wanaume kwelikweli sio watoto wa mama.
 
Kwetu Kenya hivi ndivyo Mambo yalivyo;

1 kg sugar=KSh 180
1ltr salad=KSh 150
1kg bar soap=ksh 240
1kg rice=KSh 180
1ltr milk=KSh 60
1kg maize flour=ksh100
 
hujajipanga tu ila town maisha mbona simple tu.

ukiona unafanya kaz alaf unapiga bajeti zakichovu hivyo bas acha hyo kazi bora ukachimbe vyoo
 
Ndo maana ikaitwa bongo. Hili no jiji la wanaume kwelikweli sio watoto wa mama.
usidanganye watu maisha kila mtu anavyoyapanga jiji la wanaume kweli na hao mashoga mbona tunakaa nao mpka tunawakimbia
 
Hata kama mchele kilo itafika 10000tzs Wali utaliwa tu chamsingi pambana na Hali yako tu
 
usidanganye watu maisha kila mtu anavyoyapanga jiji la wanaume kweli na hao mashoga mbona tunakaa nao mpka tunawakimbia
Unadhani mpaka mwanaume anaamua kuwekwa mchezo? Huyo nae sio mtoto wa mama ndugu ni mtu anayethubutu.
 
Back
Top Bottom