mmmhhhhhhh
pole
ha ha ha ha......haikuwa riziki,huyo wa kwako
Ningejuaga,usingekuwa unaongea nae sasa......lol
guardian angel leo kanigeuka balaa hili!
hahahahah lol
ooohh dear wanichekesha
mie nimesha chukuliwa na TF my dear ..
tangu niingie hamu ndani tupo pamoja..
ila tunakurufushana hapa na pale lakini hatuachani hahahahah lol
VOR napenda kuchat nae tu hahaha lol
hopeful Klorokwin, Uporoto, na Magulumangu hawata ona hii ya you tube
maana ndo wajumbe waku wa TF hahahah lol
mie nina wiselady ndo maana sijali sana lol
I wish i could turn back the days......lol
Mohammed,
Swali la kizushi..
Hivi hiyo avatar yako...does it represent purely & real u ??
yes u can my dear
is not to late hahahah lol
YouTube - Cher - If I Could Turn Back Time [Official Music Video] [HQ]
Cher - If I Could Turn Back Time
gdnite my dear
hope Cher will keep u company lol
Shossi bwana . . . . daaah, kaanza na moto wa kifuuu balaa
Ingekuwa kwa mwanaume mwingine ningeweza kusema utaibuka kidedea
Ila kwa hashycool, aaaaaaaaah no way aiseeee
Yaani hapo hata ukioga kwa maji moto, ukajisugua kwa dodoki kavu na sabuni ya mwarobaini, MJINI HUENDI KABISAAAA
NILHAM RASHEED na HASHYCOOL naomba niwaombe radhi kwa kutotokea kuwaombea dua ktk "ndoa" yenu tangu nilivyoahidi majira ya saa tatu asubuhi, mwenzenu huku ninapokaa Dowans walianza kazi nikashindwa kujumuika nanyi
Shossi usikate tamaa kaka
Rahman anauona moyo kaka
InshaAllah atakujibu kaka
Uwe na imani uzidishe pia dua
Kwenye zuri sharti ukaze buti
Nilham ni msichana mzuri
Wapo wengi wanauona huo uzuri
Uwe na imani uzidishe pia dua
Kina CPU hawakosekani maishani
Wapo kukatisha tamaa unayejitahidi
Ukiwapuuza utasogea mbali
Uwe na imani uzidishe pia dua
Shossi usikate tamaa kaka
Rahman anauona moyo kaka
InshaAllah atakujibu kaka
Uwe na imani uzidishe pia dua
Kwenye zuri sharti ukaze buti
Nilham ni msichana mzuri
Wapo wengi wanauona huo uzuri
Uwe na imani uzidishe pia dua
Kina CPU hawakosekani maishani
Wapo kukatisha tamaa unayejitahidi
Ukiwapuuza utasogea mbali
Uwe na imani uzidishe pia dua
Sijui kwanini wamewarudishia huo umeme,uko eneo gani tena??? sikupendi kabisa CPU..........i hate you with passion.....:laugh::laugh: