Kati ya nyimbo ninazozipenda sana,am glad kaka nawe waupenda.....
Mrefu mno unachukua muda ku-upload..........
Mhn huyu jamaa laghai...asije akakulaghai kama alivyotulaghai kuhusu mzee Madiba. Ohoooooo Shauri yako. Hivi alisha omba radhi?
Akishakupata kwa ulaghai wake, hata hilo hijab linalokupendeza bibie Nilham utaliona zito.
Kweli JF kuna kila fani haya nilham hebu msikilize mwenzio
Nilhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam ahibak moooot ya hayati........
kweli penzi ni kikohozi,
kulificha huliwezi!!!!!!
Mie mwandiko wako unaniuwa
Bora ukachume ua
Kama ulivyosema
Maana nashindwa hema
Na sijui ninachosema
Ahibak moooot ya Nilham
Dah,
u truly give me somethin to experience in lyf kwa jinsi unavyotoa vina KUJINADI.
Si unajua tena sie watu wa pwani kiswahili ni jadi yetu tena kile cha ndanindani..........
crap....l.o.l
Basi kama alivyonikutanisha na Nilham tukajua InshaAllah tutaowana...........
Still Single...., ila kuna siku tulikubaliana kwamba haya mambo unaacha maji yanafata mkondo wake... feelings zikija automatically moyo utakubali, kutakuwa hakuna hata haja ya kuuliza... (na kama love ni reciprocal unapenda na wewe unapendwa alafu you have got things in common) that will be marriage made in heaven...., Na kwa vile this is a rare event..., when am ready i will just get someone, who really loves me, even if I dont, I will learn to love her....,samahani kwa kuuliza
je wewe ulifanikiwaga kipindi kile ulipokuwa unatafuta dear??
we jinga kweli,yaani umezunguka kote kariakoo mpaka manzese umekosa demu wa kuomba penzi unakuja tongoza hapa VALUE U R SELF bana unajiaibisha tuu
hutaki kuni jibu ae..
haya ngoja niondoke..
na nyuma siangalii..
kwani naogopa ntakacho kiona..