nimeshindwa jinsi ya kumkwepa huyu dada.
Mrembo kweli anasema kanizimia ,ila ni bar maid(kwangu sio kosa ila perception ya wanaonizunguka),bar yenyewe iko karibu na home ,nisipoenda atakuja kuniulizia home au kunipigia simu. Sitaki ku-do nae hata mara moja coz utakuwa mwanzo wa mazoea mabaya
Pili nimemweleza nina gf ingawa yuko mbali lakini bado kakomaa na mimi.
Simuombi ofa ya vinywaji ila akiniona tu nimefika bar tayari analeta. Nashindwa kukataa cz anaweza kuumia lakini namwonea huruma expenses anazo-incur kwangu cz chemistry haipo .
Nimeshawahi kuwa katika hali kama yake kwa binti mmoja for two yrs halafu mwisho wa siku nikaambulia za mbavu,najua maumivu niliyoyapata ctaki nimuingize binti wa watu ktk maumivu hayo.
Nitumie njia gani ya kistaarabu ili aweze kunielewa ,ninavyoandika thread hii binti amepiga simu mara 4
Mrembo kweli anasema kanizimia ,ila ni bar maid(kwangu sio kosa ila perception ya wanaonizunguka),bar yenyewe iko karibu na home ,nisipoenda atakuja kuniulizia home au kunipigia simu. Sitaki ku-do nae hata mara moja coz utakuwa mwanzo wa mazoea mabaya
Pili nimemweleza nina gf ingawa yuko mbali lakini bado kakomaa na mimi.
Simuombi ofa ya vinywaji ila akiniona tu nimefika bar tayari analeta. Nashindwa kukataa cz anaweza kuumia lakini namwonea huruma expenses anazo-incur kwangu cz chemistry haipo .
Nimeshawahi kuwa katika hali kama yake kwa binti mmoja for two yrs halafu mwisho wa siku nikaambulia za mbavu,najua maumivu niliyoyapata ctaki nimuingize binti wa watu ktk maumivu hayo.
Nitumie njia gani ya kistaarabu ili aweze kunielewa ,ninavyoandika thread hii binti amepiga simu mara 4