comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,532
- 11,705
Siwezi kuweka picha ya mkewangu mtarajiwa hapaBila picha unatupotezea mda tu hapa
Sana mkuuKumbe inawezekana, basi wataftaji ngoja tuendelee kukaza msuli
BTW picha ya Matlida ni muhimu kama rejea ya wasoma thread
Basi usingefungua tiredi hapaSiwezi kuweka picha ya mkewangu mtarajiwa hapa
Kabisa mkuu, maandishi mengi bila hata kapicha kamoja ni upotevu wa mudaBila picha unatupotezea mda tu hapa
Kumbe kweli?Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka.
Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi hichi, nashukuru umenielewa na umekubali kua wangu, nilipokuona sikuamini kama ndie mwanamke niliekua nachat nae JF, ama hakika Umzuri sana.
Asante sana JF kwani nimepata wife material na mrembo hasaaaaa.
Kapenzi kangu ka mwandani wangu nilikapata ofisin kanaitwa Matilda....naona tuna wanaofanana majinaWakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka.
Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi hichi, nashukuru umenielewa na umekubali kua wangu, nilipokuona sikuamini kama ndie mwanamke niliekua nachat nae JF, ama hakika Umzuri sana.
Asante sana JF kwani nimepata wife material na mrembo hasaaaaa.
utakua shinyanga weweKapenzi kangu ka mwandani wangu nilikapata ofisin kanaitwa Matilda....naona tuna wanaofanana majina
Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka.
Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi hichi, nashukuru umenielewa na umekubali kua wangu, nilipokuona sikuamini kama ndie mwanamke niliekua nachat nae JF, ama hakika Umzuri sana.
Asante sana JF kwani nimepata wife material na mrembo hasaaaaa.
Asante sana mama mzunguHongera kwa kupata wako, mpende na kumtunza. Focus hapo sasa usihangaike tena.
Mi mwenyewe natafuta kitambo, nishaweka nyuz 2 kule lov connect cjui wanadhan natania
Safi sana mkuuKapenzi kangu ka mwandani wangu nilikapata ofisin kanaitwa Matilda....naona tuna wanaofanana majina
Ni ukweli mkuu mimu mwenyewe siaminiKumbe kweli?
Ngoja muda ukifika niweke bandiko langu.
Usijekuwa unatulisha matango pori we jamaa!