Nakupenda Mke wangu

Nakupenda Mke wangu

nurbert

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,887
Reaction score
428
Lwiva Amos Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa.
"Mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni
lini?" Wengine wakasema, leo asubuhi, wengine
muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia, "Kila
mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms
amwambie,NAKUPENDA MKE WANGU.." Halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya
mwenzake. Majibu yalikuwa hv:
1. Unaota au?
2. Umekumbwa na nn?
3. Heee..!! Makubwa!
4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani. 5. Leo sikusamehe najua kuna kitu.
6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms
au?
7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.
8. Wewe sema unachotaka.
9. Leo hunipati ng'o!
 
Haina maana kuwalaumu wanaume bure, wao wanahusika VP? Wakati mwingine tunaoa kwa bahati mbaya!
 
Najua majibu ni mengi,ila ukwel ni hiv ndoa ni mtihan kila m2 ana stail yake
 
Hata wanaoitana baby, la aziz, honey, n.k nao hawajawahi kusema nakupenda mke wangu? hata wakisema kwa kiasi kikubwa huwa ni unafiki tu. Mapenzi ya kweli yako kwa watu wachache sana. Na huo ndio ukweli daima.
 
ntaoa Binti wa Kinyalu... Wana mapenz ya kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom