klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
Safi sana..
usikutane na Hashaycool..
Ni hayo tu..
heheeh halaf wewe kuna mkulima wa mahindi flani kule chit chat amekuzimikia mbaya sana. Kamchune uje kunigaia hela, nimefulia mbaya sana
Safi sana..
usikutane na Hashaycool..
Ni hayo tu..
Kamanda nilienda na baskeli langu mdingi ukaniambia niondoke na uchafu wangu mbwa wao atapata tetanus. Khaaa!muulize Kloro alienda kuposa kwao akaongea kiswahili mdingi akamfukuza.
Sasa wewe unao wengi si uniachie Michelle wangu?I also love the lady kama ni lady, yeye Afrodenzi na Husninyo.
Michango ina umuhimu wake mkuuMkuu, umewahi kumwona Michelle mwenyewe live ? Au umempenda kwa sababu ya michango yake tu hapa JF?Kama hujamwona nakushauri umtafute kwanza umwone ndo umtokee.
I also love the lady kama ni lady, yeye Afrodenzi na Husninyo.
heheeh halaf wewe kuna mkulima wa mahindi flani kule chit chat amekuzimikia mbaya sana. Kamchune uje kunigaia hela, nimefulia mbaya sana
ni maladies, mimi penda wewe pia.I also love the lady kama ni lady, yeye Afrodenzi na Husninyo.
acha watu tupendane tu hvyo hvyo bwana.Mkuu, umewahi kumwona Michelle mwenyewe live ? Au umempenda kwa sababu ya michango yake tu hapa JF?Kama hujamwona nakushauri umtafute kwanza umwone ndo umtokee.
...yaani! We acha tu. Ila nimeasili mtoto hapa jf, kwa hiyo ujue tuna binti
She is busy with her daily routines
Nakupenda pia sana, tutatunza tu mtoto wetu!!!nami pia nimeasili,kwahiyo hakuna neno,tuombe tu iwe salama na kheri tuwe na uwezo wa kuwatunza kama inavyopaswa. asante!
Dearest bahati iliyoje....you are my new mommy!!Binti yangu usilie tena. Umepata mama
Nyie wote mnapaswa kuheshimu mapenzi yetu. Ndio maana siku PM nikijua wanaume wa hapa JF (hasa Arafat) hamuaminiki
Michelle leo utakoma nyumbani kumbe una mpenzi humu JF na leo sifungui mlango usiku kama jana.
Endeleeni kupendana bana hata vitabu vya dini vinasema pendaneni. Na pia zaeni muijaze dunia, hilo nalo la msingi msilisahau!!