Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
...yaani! We acha tu. Ila nimeasili mtoto hapa jf, kwa hiyo ujue tuna binti
Michelle Obama huwa anapitia hapa au????
Nyie wote mnapaswa kuheshimu mapenzi yetu. Ndio maana siku PM nikijua wanaume wa hapa JF (hasa Arafat) hamuaminikisijui ni michelle gani. Alitakiwa amPM!
Yaani ninavyompenda hata haisemeki!unampendaje pendaje huyo? Humu ndani kwa mahaba duh!
heheh hapo red kamanda imebidi nicheke kwa loud speaker aisee.Mods hii ipelekwe chitchat.Michelle wetu huyu filosofa unamzimikia kwa kiswahili ? sidhani kama utafanikiwa lol!
Yaani ninavyompenda hata haisemeki!
Uporoto01,Wewe nadhani ndie unaeniwekea mkonoMods hii ipelekwe chitchat.Michelle wetu huyu filosofa unamzimikia kwa kiswahili ? sidhani kama utafanikiwa lol!
All the best, siku hizi simuoni au kahama jukwaa
Asante Shantel. Wee mtuAll the best, siku hizi simuoni au kahama jukwaa
hivi hii inavigezo ya kua hapa?
muulize Kloro alienda kuposa kwao akaongea kiswahili mdingi akamfukuza.Uporoto01,Wewe nadhani ndie unaeniwekea mkono