Nakupenda JamiiForums™

Nakupenda JamiiForums™

Tetramelyz

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
4,372
Reaction score
12,479
Wanaowabeza Polisi mitandaoni ‘kushughulikiwa’
IMG_20160825_194205.JPG
 
Kufurahia mauaji ya polisi na kufanyia mzaha ni upuuuzi first class. Acheni utoto
Indee! hapa ni rorho za watu wane wamepotea. Ni ujinga na ukatili wa hali ya juu!
 
Hii kitu sio ya kukejeli hata kidogo, zile mashine walizochukua unadhani wataenda kuulia panya?. Polisi wetu mimi bado ninaimani na ninyi, fanyeni hima zile silaha mzirudishe mikononi mwenu.
 
Lazma kuwekwe utaratibu wa kuwapongeza na kuwazawadia wale wote tuliohudhunika na kulia kwa kuuwawa kwa askari wetu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1472198633.302883.jpg
je huyu ila huu mzahaa inafikia hatua polisi kuchukiwa namna hii n hal mbaya sana
 
Back
Top Bottom