Imekumbusha Jamaa yangu ambaye walitamaniana na Mdada kwenye dot com kama hivyo, ikafika siku wakapeana ahadi kukutana, wakakubaliana eneo la kukutana, wakifika wawasilaine kwa simu. Jamaa yangu alipofika akaweka cmu yake vibration na akakaa mezani, simu mfukoni aone kwanza Mrembo anayepiga, yaani aliyekuja na kumpigia ni mama ambaye ana umri zaidi ya mama yake (jamaa yangu), na kwa jinsi walivyokuwa wametamaniana na kuwahidiana kupendana na kupeana raha za utu uzima, bado jamaa yangu hakudiriki kutoa simu mfukoni mpaka yule mama alipoondoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.