Gaga JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,558 1,968 Feb 24, 2011 #1 Hii ni siri ukaushe tu ukisikia ni hiviiiiii kama haja ndogo ni "short call" haja kubwa ni "long call" Unaonaje kujamba iitwe "missed call"???????
Hii ni siri ukaushe tu ukisikia ni hiviiiiii kama haja ndogo ni "short call" haja kubwa ni "long call" Unaonaje kujamba iitwe "missed call"???????
Cestus JF-Expert Member Jan 23, 2011 987 131 Feb 24, 2011 #2 uuhmm..hi joks nimeisoma juz hum hum usirudia ambvyo tushacheka na kusahau!
Mpasuajipu JF-Expert Member Oct 22, 2010 836 49 Feb 24, 2011 #3 gaga said: hii ni siri ukaushe tu ukisikia ni hiviiiiii kama haja ndogo ni "short call" haja kubwa ni "long call" unaonaje kujamba iitwe "missed call"??????? Click to expand... wewe ni mdada au man? Kama mdada wa heshima hukustahili kutoa hii joke naona km ni joke za mabrother men wa kijiweni tena wasiosoma. Kama ni mdada basi wewe ni tomboy! Na siwezi futa kauli yangu.
gaga said: hii ni siri ukaushe tu ukisikia ni hiviiiiii kama haja ndogo ni "short call" haja kubwa ni "long call" unaonaje kujamba iitwe "missed call"??????? Click to expand... wewe ni mdada au man? Kama mdada wa heshima hukustahili kutoa hii joke naona km ni joke za mabrother men wa kijiweni tena wasiosoma. Kama ni mdada basi wewe ni tomboy! Na siwezi futa kauli yangu.
Gaga JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,558 1,968 Feb 24, 2011 Thread starter #4 Mpasuajipu said: wewe ni mdada au man? Kama mdada wa heshima hukustahili kutoa hii joke naona km ni joke za mabrother men wa kijiweni tena wasiosoma. Kama ni mdada basi wewe ni tomboy! Na siwezi futa kauli yangu. Click to expand... Usijali yote maisha
Mpasuajipu said: wewe ni mdada au man? Kama mdada wa heshima hukustahili kutoa hii joke naona km ni joke za mabrother men wa kijiweni tena wasiosoma. Kama ni mdada basi wewe ni tomboy! Na siwezi futa kauli yangu. Click to expand... Usijali yote maisha
Iramusm JF-Expert Member Nov 16, 2009 509 314 Feb 24, 2011 #5 Gaga said: Usijali yote maisha Click to expand... I like ur attitude Gaga!
Gaga JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,558 1,968 Feb 25, 2011 Thread starter #6 Iramusm said: I like ur attitude Gaga! Click to expand... Si unajua tena kazi ya mpasua jipu? huwa ni ngumu haswa akikutana na majipu yaliyokaa sehemu mbaya akitoka theatre mtu yeyote mbele yake anamuwakia.
Iramusm said: I like ur attitude Gaga! Click to expand... Si unajua tena kazi ya mpasua jipu? huwa ni ngumu haswa akikutana na majipu yaliyokaa sehemu mbaya akitoka theatre mtu yeyote mbele yake anamuwakia.
O Optimistic Soul JF-Expert Member Nov 1, 2010 204 21 Feb 25, 2011 #8 Gaga said: Usijali yote maisha Click to expand... Brilliant response!