BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,110
- 14,073
Kama upo kariakoo niulizie t-shirt nyeupe plain size medium how much
Air max ina kopi nyingi sana mkuu. Kesho nitakutumia kopi yake moja hivi bei ya jumla kariakoo katoni ni elf 10.Kuna maduka karibu na njia panda ya magomeni na moroko.
Nilinunua airmax nzuri tu kwa jogging kwa bei ya kuvutia ya elfu 30.
OK.Air max ina kopi nyingi sana mkuu. Kesho nitakutumia kopi yake moja hivi bei ya jumla kariakoo katoni ni elf 10.
DuhhMtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
Nyeupe plain ya kola au? Kwa wewe mkuu sikuchukulii kariakoo nawnda kukuchukulia dar city printing tisheti kali sana inatoka dubai. Inauzwa 24. Utanipa service charge elf 5 tu..Kama upo kariakoo niulizie t-shirt nyeupe plain size medium how much
Fake hiyoMtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
Ile ni kama chai tu mkuu ilivyo kinywaji cha muda wote. Haimaanishi kuwa ikiwa utakunywa chai hutakunywa vinywaji vingine.Unavaaje ile kiatu mzee? Mbona kun brand kali tu siku hizi?
NiMtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
Tupe machimbo kamandaAir max ina kopi nyingi sana mkuu. Kesho nitakutumia kopi yake moja hivi bei ya jumla kariakoo katoni ni elf 10.