Nakumbuka...

Nakumbuka...

Nimeisoma yote ila sijaona funzo la moja kwa moja kutoka kwa dada zaidi ya kutumia muda mrefu kupata mafanikio ambayo wenzie waliyapata ndani ya muda mfupi bila kutumia jasho,ilitakiwa utuoneshe side effect ya walionunua mitihani either walidisco au walifukuzwa kazi,ila kama wakaendelea kula bata mpaka Leo tena Mara nyingi zaidi ya binti mbona poa tu,na yule mhasibu kapiga milioni 20 na kaendelea kudunda Mara nyingi zaid ya binti aliyeenda kuteseka zaid akitafuta CPA Huku wenzie wakila bata,MPE pole mwambie maisha ni akili tu na the way unavyozichanga kama masamaki,maisha yenyewe mafupi....kwahiyo hapo kufundisha Moshi ndo kilele cha mafanikio au??
 
Nimeisoma yote ila sijaona funzo la moja kwa moja kutoka kwa dada zaidi ya kutumia muda mrefu kupata mafanikio ambayo wenzie waliyapata ndani ya muda mfupi bila kutumia jasho,ilitakiwa utuoneshe side effect ya walionunua mitihani either walidisco au walifukuzwa kazi,ila kama wakaendelea kula bata mpaka Leo tena Mara nyingi zaidi ya binti mbona poa tu,na yule mhasibu kapiga milioni 20 na kaendelea kudunda Mara nyingi zaid ya binti aliyeenda kuteseka zaid akitafuta CPA Huku wenzie wakila bata,MPE pole mwambie maisha ni akili tu na the way unavyozichanga kama masamaki,maisha yenyewe mafupi....kwahiyo hapo kufundisha Moshi ndo kilele cha mafanikio au??
Mentor atarudi
 
Nimeisoma yote ila sijaona funzo la moja kwa moja kutoka kwa dada zaidi ya kutumia muda mrefu kupata mafanikio ambayo wenzie waliyapata ndani ya muda mfupi bila kutumia jasho,ilitakiwa utuoneshe side effect ya walionunua mitihani either walidisco au walifukuzwa kazi,ila kama wakaendelea kula bata mpaka Leo tena Mara nyingi zaidi ya binti mbona poa tu,na yule mhasibu kapiga milioni 20 na kaendelea kudunda Mara nyingi zaid ya binti aliyeenda kuteseka zaid akitafuta CPA Huku wenzie wakila bata,MPE pole mwambie maisha ni akili tu na the way unavyozichanga kama masamaki,maisha yenyewe mafupi....kwahiyo hapo kufundisha Moshi ndo kilele cha mafanikio au??

Huyo BOLD anamfahamu vyema huyu binti....muulize yeye atakueleza kinagaubaga!!!

Asipokupa funzo rudi kwangu...
 
Mentor atarudi

1. Maisha si mashindano. Inspire people by God's blessings on you due to your faithfulness to Him not on others' failures.

2. Wengi wa hao watu ndio hawa waliokuja kukamatwa wakati wa utawala huu wa awamu ya tano.

3. Uzuri wa jasho lako ni unalila bila hofu. Unakuwa na amani. "Hakuna pesa tamu kama ya jasho yako"

4. Hao waliozichanga kimjinimjini ndio waliofanya taifa lifikie hapa lilipo.

5. Tatizo la binadamu tunapenda kujipenda/kujifirikia wenyewe tu.
 
1. Maisha si mashindano. Inspire people by God's blessings on you due to your faithfulness to Him not on others' failures.

2. Wengi wa hao watu ndio hawa waliokuja kukamatwa wakati wa utawala huu wa awamu ya tano.

3. Uzuri wa jasho lako ni unalila bila hofu. Unakuwa na amani. "Hakuna pesa tamu kama ya jasho yako"

4. Hao waliozichanga kimjinimjini ndio waliofanya taifa lifikie hapa lilipo.

5. Tatizo la binadamu tunapenda kujipenda/kujifirikia wenyewe tu.
Umemaliza mkuu
 
Naam, Mentor katika ubora wake.
story nzuri,inafundisha na kutia moyo.
 
Kwa miaka hii hapana, wadada vyuoni wanaagawa penzi kama karanga kwa malecture ili wasi supp au kuepuka special.
 
Mmmh hujui tu ulivyonitia nguvu.... "Sijawahi ona mwenye haki ameachwa".

Utapitia magumu mengi, unaweza kupoteza vingi, but Mungu hatokuacha kamwe. Na baada ya yote hayo kwisha, Mungu atakurejeshea enzi yako, na mamlaka yako, na kila kitu chako ambacho mwovu alikuibia kitarudishwa maradufu . Kuwa mwaminifu kwa Mungu katika hali zote si kazi ndogo (mfano kwa Ayubu), but thawabu yake ni kubwa mnooo

" Nami Nitawarejeshea hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu na tunutu". Yoeli 2: 25
Ubarikiwe,....injili imewafikia wengine wengi...........
 
Mungu hamtupi mja wake hakuna mtu aliyemtegemea Mungu kwa asilimia 100 halafu amuache kwani anakuwa anamuangalia kama mboni ya jicho lake.
 
Back
Top Bottom