Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 643
1. Kuna mchezaji Wa Yanga aliwahi kupiga kona
mpira ukaenda wavuni na kuwa goli
2. Kuna mchezaji mmoja nadhani Wa Milambo
alikuwa anaitwa 'scud'. Mwaka huo kama
sikosei marekani walikuwa wanaishambulia
Somalia kwa kutumia makombora ya scud
3. Kuna mchezaji Wa Yanga aliwahi kupiga penati
nyavu zikatoboka
4. Kuna timu moja nadhani Simba waliwahi kuingia
mitini baada ya kipindi cha kwanza hawakurudi
uwanjani
5. Kuna timu moja toka Madagascar ilifungwa na
Pamba goli 12
Nitazidi kuongeza nyingine kadri ninavyokumbuka
mpira ukaenda wavuni na kuwa goli
2. Kuna mchezaji mmoja nadhani Wa Milambo
alikuwa anaitwa 'scud'. Mwaka huo kama
sikosei marekani walikuwa wanaishambulia
Somalia kwa kutumia makombora ya scud
3. Kuna mchezaji Wa Yanga aliwahi kupiga penati
nyavu zikatoboka
4. Kuna timu moja nadhani Simba waliwahi kuingia
mitini baada ya kipindi cha kwanza hawakurudi
uwanjani
5. Kuna timu moja toka Madagascar ilifungwa na
Pamba goli 12
Nitazidi kuongeza nyingine kadri ninavyokumbuka
