Serikal imemomba radhi kwa kumsingizia ugaidi? Wewe kada hunaga hoja kabisa na ndo mnaomharibia Mbowe mali yake yaani CHADEMA. Ungekuwa mzalendo kwa kukemea Mbowe alipoleta mambo ya ubara na uzanzibari kwenye ishu ya Bandari. Kabla ya kupost uzi uwe unafikiria kwanza sio kukurupuka.
..Katiba yetu ina mapungufu.
..Tulipaswa kuwa na Rais wa TANGANYIKA anayetuongoza na kulinda maslahi yetu ndani.
..Bandari ya Dsm si ya muungano, ni ya Tanganyika.
..Samia Suluhu na Makame Mbarawa ni Wazanzibar, lakini ndio wasimamizi wa kuuza bandari ya Watanganyika.
..Tanganyika ipewe serikali yake, au Katiba itamke ni mwiko Mzanzibari kuwa Raisi wa muungano.