Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

Cocacola SAMAHANI KIDOGO, huenda ni kweli au SI KWELI, ila inshu ya KUSEMA we ni me inakuharibia kama KWELI we ni ke inabidi mara MOJA TU pia picha WALAU hata paja TU au mkono, au inshu yoyote itayo onesha uanamke WAKO coz MTU kama Mimi NILIKUA na nia kabisa ya KUMUOA ila nikashauriwa napoteza muda coz we ni me, kila Niki KUONA hili jambo linani ingiza kichwani SANA, mfano Kipind hicho NILIKUA single Sasa Nina manzi kachukua nafasi Yako huoni kama umepoteza MTU MAKINI.
Mtoto anatoa jicho huyo, mtoto mtamu kweli huyo
 
Sasa kama mtu kasema mwenyewe nakuja lakini hatufanyi kitu unamsumbua wa nini!!
Si unakua romantic, unabembeleza au unafanya tactics za Maka hapo chini šŸ‘‡
Hizi ni kesi za kawaida sana, katika maisha ya ukuaji... na akisema hivyo usiwe na papara nae, we mvutie maji marefu, akija unaomba kidogo kidogo, ujidai unapenda lipsi zake, unyonye kidogo akijichanganya unapiga denda la MILENIA,
Kuna lile denda anapigwa mtu lazima pumzi zibadilike, kama alikuwa kasimamq nguvu zinamuishia anahitaji kukaa automatic
Hapo hachomoki!
Erica Blushing GIF by Big Brother Naija.gif
 
Back
Top Bottom