Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🀭

Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🀭

Huwa sipendi uzumbukuku nilimchana makavu tu ni bora asije gheto ninavipande kadhaa vya soap haina haja hata ya kwenda dukani
πŸ˜‚ Hutaki masikhara, ukikosa utelezi, unajitelezesha mwenye na sabuni, mambo yasiwe mengi.
"MOYO WAAANGUU UNA AMANI....MOYO WANGU, MOYO WAANGUU UNA FURAHA....MOYO WANGU, MOYO WAANGUU HAUNA KINYONGO....NASEMA RAAAAHA JIPE MWENYEWEeee.''Hii ngoma ilinipa matumani zaidi japo ni nyimbo ya dini haikuendana na dhambi zangu.

View: https://youtu.be/SR1rR20G3v8?si=hUnNTgrRe-_IydlK
 
Story ni ileile tu, hatufanyi naweka tu mkono niibarikiπŸ˜‚
Nimecheka kwa sauti sana πŸ˜‚ πŸ˜‚
giphy-downsized 8.GIF
 
Back
Top Bottom