Kumfahamu ni kuwa na taarifa za huyo mtu/kusikia habari zake/kumuelewa. Kumjua mtu, ni kumwelewa kwa undani. Ukiulizwa unafahamu Kiingereza?. Jibu likiwa ndiyo, maana yake unafahamu kuwa Kiiingereza ni moja ya lugha na wenyewe ni Waingereza/Wangereza. Ukiulizwa kama unajua Kiingereza, maana yake ni kuijua-lugha ya Kiingereza kwa kuizungumza/
Kuisoma na kuandika.
Ile ya Adam kumjua Mkewe ni kukosekana kwa tafsiri ya neno "Carnal Knowledge" by then, tafsiri ya sasa ni 'kumuingilia'