herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,345
- Thread starter
- #41
Jibu kwanza wewe uliyeulizwa awali na ndipo ujibiwe mkuuwewe hupendi udaku?
Jibu kwanza wewe uliyeulizwa awali na ndipo ujibiwe mkuuwewe hupendi udaku?
SIPANGIWI KUJIBUJibu kwanza wewe uliyeulizwa awali na ndipo ujibiwe mkuu
Hujapangiwa huo ni utaratibu UKIULIZA SWALI UNATOA JIBU HALAFU NAWEWE UNAWEZA UKAULIZA lako.SIPANGIWI KUJIBU
Mambo mengine yanachipuka na yanakuwa ni kama agenda kwa muda huo ukiuliza vizuri hata ushahidi hakuna ulokamilika so kumbe ni tuhuma tu.
Huu ni upuuzi na ni wapuuzi tu wanadili na udaku na matukio kila kukicha.
Ukiona hivyo na yy ni mdakuNi kweli Watanzania walio wengi wanapenda sana udaku udaku haya ni mambo ambayo siyo muhimu kabisa katika kujitafutia maendeleo, hata mkipinga hapa huu ni ukweli.
Hata rais Magufuli naye anajua hili ndiyo maana alisema siku ya jumatatu uzinduzi wa ujenzi flyover ya Ubungo.
Namnukuu "Tumejielekeza mno katika masuala ya udaku ambayo hayatuongezei chochote, hayatusaidii chochote na ndio yanachukua muda wetu mwingi.
Zipo hata tafiti rasmi zinathibitisha hili moja ilihitimisha kuwa ni Watanzania wengi hawapendi kusoma vitabu na magazeti ya msingi lakini wanapendelea sana kusoma magazeti ya udaku hili hata ukifanya kauchunguzi kidogo tu utabaini kaulize muuza magazeti ni yapi yanaisha kwa haraka atakujibu udaku.
Mijadala mingi ni matukio, fulani kafanya hivi yule vile, yule siku hizi hasalimii anhaa si wajua kapata ajira!
Kiongozi akikosea na kama kweli ushahidi upo watu wenye akili timamu hawaishii tu kusema sema wanachukua hatua kumuwajibisha ili mambo mengine ya kimaendeleo yafanyike, mataifa yaloendelea ya dunia ya kwanza wamefankiwa na wanazidi kufanikiwa kwa kufanya hivyo.
Kila mtu inatakiwa awe na dira/malengo kwenye maisha yake, taasisi vilevile hata taifa pia lazima liwe na dira siyo kwenda kwenda tu hovyohovyo kwa kuyafanya matukio ndiyo agenda/dira.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people"
Ni kweli Watanzania walio wengi wanapenda sana udaku udaku haya ni mambo ambayo siyo muhimu kabisa katika kujitafutia maendeleo, hata mkipinga hapa huu ni ukweli.
Hata rais Magufuli naye anajua hili ndiyo maana alisema siku ya jumatatu uzinduzi wa ujenzi flyover ya Ubungo.
Namnukuu "Tumejielekeza mno katika masuala ya udaku ambayo hayatuongezei chochote, hayatusaidii chochote na ndio yanachukua muda wetu mwingi.
Zipo hata tafiti rasmi zinathibitisha hili moja ilihitimisha kuwa ni Watanzania wengi hawapendi kusoma vitabu na magazeti ya msingi lakini wanapendelea sana kusoma magazeti ya udaku hili hata ukifanya kauchunguzi kidogo tu utabaini kaulize muuza magazeti ni yapi yanaisha kwa haraka atakujibu udaku.
Mijadala mingi ni matukio, fulani kafanya hivi yule vile, yule siku hizi hasalimii anhaa si wajua kapata ajira!
Kiongozi akikosea na kama kweli ushahidi upo watu wenye akili timamu hawaishii tu kusema sema wanachukua hatua kumuwajibisha ili mambo mengine ya kimaendeleo yafanyike, mataifa yaloendelea ya dunia ya kwanza wamefankiwa na wanazidi kufanikiwa kwa kufanya hivyo.
Kila mtu inatakiwa awe na dira/malengo kwenye maisha yake, taasisi vilevile hata taifa pia lazima liwe na dira siyo kwenda kwenda tu hovyohovyo kwa kuyafanya matukio ndiyo agenda/dira.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people"
Mkuu hii picha yako inahusiana nini na mada?
Mkuu hii picha yako inahusiana nini na mada?
Great minds zinajua watu gani na events gani zitatikisa jamii au kuangusha falme. Kalagabao (baki na ujinga wako).Ni kweli Watanzania walio wengi wanapenda sana udaku udaku haya ni mambo ambayo siyo muhimu kabisa katika kujitafutia maendeleo, hata mkipinga hapa huu ni ukweli.
Hata rais Magufuli naye anajua hili ndiyo maana alisema siku ya jumatatu uzinduzi wa ujenzi flyover ya Ubungo.
Namnukuu "Tumejielekeza mno katika masuala ya udaku ambayo hayatuongezei chochote, hayatusaidii chochote na ndio yanachukua muda wetu mwingi.
Zipo hata tafiti rasmi zinathibitisha hili moja ilihitimisha kuwa ni Watanzania wengi hawapendi kusoma vitabu na magazeti ya msingi lakini wanapendelea sana kusoma magazeti ya udaku hili hata ukifanya kauchunguzi kidogo tu utabaini kaulize muuza magazeti ni yapi yanaisha kwa haraka atakujibu udaku.
Mijadala mingi ni matukio, fulani kafanya hivi yule vile, yule siku hizi hasalimii anhaa si wajua kapata ajira!
Kiongozi akikosea na kama kweli ushahidi upo watu wenye akili timamu hawaishii tu kusema sema wanachukua hatua kumuwajibisha ili mambo mengine ya kimaendeleo yafanyike, mataifa yaloendelea ya dunia ya kwanza wamefankiwa na wanazidi kufanikiwa kwa kufanya hivyo.
Kila mtu inatakiwa awe na dira/malengo kwenye maisha yake, taasisi vilevile hata taifa pia lazima liwe na dira siyo kwenda kwenda tu hovyohovyo kwa kuyafanya matukio ndiyo agenda/dira.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people"
Yeye atamke hadharani anampenda, watu watamuunga mkono.Huyo hapana kwakweli
Ni kweli Watanzania walio wengi wanapenda sana udaku udaku haya ni mambo ambayo siyo muhimu kabisa katika kujitafutia maendeleo, hata mkipinga hapa huu ni ukweli.
Hata rais Magufuli naye anajua hili ndiyo maana alisema siku ya jumatatu uzinduzi wa ujenzi flyover ya Ubungo.
Namnukuu "Tumejielekeza mno katika masuala ya udaku ambayo hayatuongezei chochote, hayatusaidii chochote na ndio yanachukua muda wetu mwingi.
Zipo hata tafiti rasmi zinathibitisha hili moja ilihitimisha kuwa ni Watanzania wengi hawapendi kusoma vitabu na magazeti ya msingi lakini wanapendelea sana kusoma magazeti ya udaku hili hata ukifanya kauchunguzi kidogo tu utabaini kaulize muuza magazeti ni yapi yanaisha kwa haraka atakujibu udaku.
Mijadala mingi ni matukio, fulani kafanya hivi yule vile, yule siku hizi hasalimii anhaa si wajua kapata ajira!
Kiongozi akikosea na kama kweli ushahidi upo watu wenye akili timamu hawaishii tu kusema sema wanachukua hatua kumuwajibisha ili mambo mengine ya kimaendeleo yafanyike, mataifa yaloendelea ya dunia ya kwanza wamefankiwa na wanazidi kufanikiwa kwa kufanya hivyo.
Kila mtu inatakiwa awe na dira/malengo kwenye maisha yake, taasisi vilevile hata taifa pia lazima liwe na dira siyo kwenda kwenda tu hovyohovyo kwa kuyafanya matukio ndiyo agenda/dira.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people"