Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 303
- 1,158
Vijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako
Wivu wa kijinga utakuuaVijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako
Mnyeti na nyeti na mleta mada wote Mazi ga nyanzaVijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako
Huyu mwanasiasa alionyesha udhaifu mkubwa kwa kauli yake hiyoVijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako
Huyo Mnyeti kajidhalilisha kwa kauli ya hovyo kama hiyoVijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako
Bora ata wanaoibiwa madini yao,yakwetu tunagawa tu bure.Ninachofurahi zaidi ni kwamba INONGA naye anaibiwa MADINI huko kwao Congo.
Kukata viuno salamander ndo wanajuaSultan Makenga kijana wa kitutsiwa M23 anapeleka moto kwa wacongo.vijana wa kicongo kazi kutetema na kujichubua tu.
Kweli mapunguani hawaishi ktk ardhi hii,Vijana wetu wanajitolea kwenda kwao kupigania uhai na taifa lao huku yeye akitetema huku Tanzania, hili haliwezekani, aende kwao akateteme huko, hongera mheshimiwa Mnyeti kwa uzalendo wako