Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Kama kichwa cha habari kilivyoonyesha hapo juu, mimi napenda kutoa ukweli wa moyo wangu leo.
Nakubali waislam waanzishe mahakama ya kadhi kwa sababu ya umuhimu mkubwa wa uwepo wa mahakama hiyo, uwepo wa mahakama ya kadhi utasaidia waislam kufuata sheria zinazoendana na imani yao.
Kila jambo linalowahusu waislam litafanywa bila kutatiza maadili yao.
Pamoja na hayo niliwaza uwepo wa mahakama hiyo bila kuwekwa kwenye katiba ili kuepusha:
1.mambo yanayoweza kuvuruga mshikamano wa raia, kwa kuleta dhana kwa kila mtu kwamba kumbe sisi tuko tofauti sana, hii itaongeza ubaguzi.
2.kuwafanya watu wasio waislam kufikiri kwamba serikali inafungamana na dini flani hapa nchini.
3.watu wasio waislam kufikiri kua mahakama hii ititatumia fedha zinazochangiwa hadi na watu wawasiokua waislamu
4. Watu wasio waislamu wanawaza kua uwepo wa mahakama ya kadhi kutaashiria kua uislam ni sehemu ya dora (serikali).
Kwa mtazamo wangu naomba iwepo ila isiingizwe kwenye katiba.
Wadau tafadhali haya ni mawazo yangu naomba nisiulizwe dini yangu, wala nisipewe matusi kwa sababu ni fikra zangu sio lazima kila mtu awaze kama mimi.
Naomba kuwasilisha.
Nakubali waislam waanzishe mahakama ya kadhi kwa sababu ya umuhimu mkubwa wa uwepo wa mahakama hiyo, uwepo wa mahakama ya kadhi utasaidia waislam kufuata sheria zinazoendana na imani yao.
Kila jambo linalowahusu waislam litafanywa bila kutatiza maadili yao.
Pamoja na hayo niliwaza uwepo wa mahakama hiyo bila kuwekwa kwenye katiba ili kuepusha:
1.mambo yanayoweza kuvuruga mshikamano wa raia, kwa kuleta dhana kwa kila mtu kwamba kumbe sisi tuko tofauti sana, hii itaongeza ubaguzi.
2.kuwafanya watu wasio waislam kufikiri kwamba serikali inafungamana na dini flani hapa nchini.
3.watu wasio waislam kufikiri kua mahakama hii ititatumia fedha zinazochangiwa hadi na watu wawasiokua waislamu
4. Watu wasio waislamu wanawaza kua uwepo wa mahakama ya kadhi kutaashiria kua uislam ni sehemu ya dora (serikali).
Kwa mtazamo wangu naomba iwepo ila isiingizwe kwenye katiba.
Wadau tafadhali haya ni mawazo yangu naomba nisiulizwe dini yangu, wala nisipewe matusi kwa sababu ni fikra zangu sio lazima kila mtu awaze kama mimi.
Naomba kuwasilisha.