Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 874
- 662
Wakuu,samahani naomba kufahamu maelezo ya kina kihusu tablets za thl katika matumizi yake mbali na kusoma vp katika matumizi mengine ya sim iko vizur??hasa tach,,uwezo wake n,k,nataka kuichukua kulingana na mazingila yangu sipendi kuwa na sim mbili mbili,,