Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Fundi rangi

JF-Expert Member
Sep 11, 2014
3,527
1,210
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.

Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza kuona kazi zetu mbalimbali.

1496287992157.jpg
1496288033514.jpg
1496288064687.jpg
1496288295216.jpg

Katika picha hizi kuna kazi ambazo nimefanya mimi nyingine sio zangu, ila nimelenga kukuonesha mwonekano wa Tanga stone ,
 
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.

Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza kuona kazi zetu mbalimbali.

View attachment 517350View attachment 517351View attachment 517352View attachment 517355
Katika picha hizi kuna kazi ambazo nimefanya mimi nyingine sio zangu, ila nimelenga kukuonesha mwonekano wa Tanga stone ,
1496320971578.jpg
1496321124691.jpg
1496321124691.jpg
1496321124691.jpg
Tuite tuyapambe makazi yako kwa nakshi ya Tanga stone.
 
Bei zenu zikoje mkuu?
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
 
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
1496326761855.jpg
1496326807215.jpg
Hapa unaweza kuona tofauti.
 
Bora umesema ukweli,

Hayo ya tanga na yale ya Morogoro wanayo tengenezea Mabo yapi mazuri imara?
 
Back
Top Bottom